ismail nangombwani
Member
- Nov 25, 2017
- 16
- 3
Habarini wana JF,
Kama kuna mwana JF anajua labda kuna shirika au kampuni inazamini (fadhili) masomo ya stashahada (diploma) ya ualimu kwa masomo sayansi naomba msahada tafadhali mana kuna kijana ana ufaulu mzuri sana lakini anashindwa kuendelea na masomo uwezo wa kifedha ni mdogo sana kwenye familia yao.
Kama kuna mwana JF anajua labda kuna shirika au kampuni inazamini (fadhili) masomo ya stashahada (diploma) ya ualimu kwa masomo sayansi naomba msahada tafadhali mana kuna kijana ana ufaulu mzuri sana lakini anashindwa kuendelea na masomo uwezo wa kifedha ni mdogo sana kwenye familia yao.