fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Sawa sawa mkuu maana wengne lugha ni tatzo toka tupo chekecheaNgoja tusubili wajuzi watwambie
Sema huwaga na kiswahili cha kiduwanzi kama cha wakenya yaani [emoji16][emoji16][emoji16] nlijarbu ikaniletea lugha ngumIngia kwenye browser yako,andika Google translator kisha itakuletea space kwa ajili ya ku paste hiyo story yako then kwenye space ya chini utachagua lugha ambayo unataka hiyo story yako iwe translated
KweLi mkuu yaan hata mm ilinshindaga hygoogle translate. Ila ina kiswahili kibovu balaa
Ni wakenya ndio walibeba hiyo tenda kutafsiri wakavuta pesa ndefu kweli wakajaza kiswahili kibovugoogle translate. Ila ina kiswahili kibovu balaa
Mr wakipewa iyo kazi lini?Ni wakenya ndio walibeba hiyo tenda kutafsiri wakavuta pesa ndefu kweli wakajaza kiswahili kibovu
Watanzania uvivu wa kusaka kazi za online unatuponza kukosa fursa kama hiyo