BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Nenda kwenye contacts.google.com, kumbuka uwe umesign inna email iliyo kwa simu kisha nenda kwenye deleted trash utazikuta huko na usirestore. Note uwe umezifuta katika kipindi kisichozidi mweziNimejaribu kutafuta playstore badluck nilizokuta nazo zimeshindwa kurecover namba ambazo nilizofuta intentionally.
Hii ni maajabuKuna uzi humu wa kupata contacts za miaka nenda miaka rudi, Cha msingi uwe unatumia fb.
Mimi kwa sasa nikifuta natafuta ile link na log in natafuta contact husika.
Ingia hapo
mkuu yapi hayo maajabu ni kweli imerudisha contact za miaka au usanii tu.?Hii ni maajabu
Tanzania no nchi ya kisanii sanii tu. Kila mwananchi ni mwana ITmkuu yapi hayo maajabu ni kweli imerudisha contact za miaka au usanii tu.?
Ukiwa na shida na namba ulizopoteza utaitafuta hio link, Kwa sasa endelea kutusema wananchi.Tanzania no nchi ya kisanii sanii tu. Kila mwananchi ni mwana IT