Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea.

Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
 
Pombe kama pombe! Ngoja walevi na wanywaji waje wakupe majibu sahihi. Sisi wengine tumeokoka.
 
Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea.

Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
Mkuu unakunywa sana na maji hunywi ?
 
Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea.

Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
kwanza imekuwaje mpaka ukaenda kupima.
je ni mnywaji mzuri wa pombe kali
 
Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea.

Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
Mkuu mbona athali yake umeshaambiwa huko hospitali na wewe mwenyewe umeisema, kuwa usipopunguza utatembea? Unataka athali gani tena? Au unataka formula ya chemical reaction itakayosababisha utembee?
 
Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea.

Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
Utakuwa ukigongewa tu demu, mchepuko na mke wako kwasababu dushe litakuwa limesinyaa tu.

Iyo ndo athar
 
Back
Top Bottom