Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,368
- 1,325
Wakuu habari za masiku wakuu nimelima mapapai nikafikiria kwenye zile nafasi nilizoacha baina ya mche na mche ni mipana sana nikaona niweke hapo mboga za majani kuna athari zozote kwenye hiyo miche ya mipapai. Umri wa miche ya mipapai ni mwezi.