๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

1_20250209_190946_0000.png


Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa kujirudia rudia kila siku kwenye simu yako.

images (79).jpeg


Unakuta mtu wala apendi kucheza michezo ya kamari lakini unakuta kila siku lazima apate tangazo la michezo ya kubashiri au umejishindia kiasi fulani cha pesa fanya hivi kujichukulia zawadi wakati ujacheza je hizi taarifa zinatoka wapi ?

3_20250209_190946_0002.png


Asilimia kubwa taarifa hizi zinatoka kwenye makampuni ya simu ambayo ufanya kazi ya kuuza taarifa za wateja wao kwa makampuni mengine yanayohitaji huduma ya kujitangaza kuhusu jambo fulani labda kubashiri na kuweza kuwatumia watu waliojisajili kwenye huo mtandao.

4_20250209_190946_0003.png


Wahanga wengi hawapendi kabisa hii michezo lakini hujikuta bila ridhaa yao wanakuta jumbe za kamari kwenye simu zao na wengi wanashindwa kujiondoa kwani hawajui hata wameunganishwa vipi inafika kipindi mpaka makampuni yanakukata pesa kwa huduma ambayo hata ujajiunga.

2_20250209_190946_0001.png


Kiuwalisia jumbe zote tunazotumiwa za matangazo zingine hata hatujajiunga huwa zinakua taarifa binafsi za mteja zimeuzwa kwenda makampuni mengine ya kubashiri na kupelekea mteja bila kujua kupotea ambazo azipendi kwenye simu yake.

images (72).jpeg


Wakati mwingine unakuta umeiweka pesa kwenye simu yako utakuta jumbe za ajabu kama vile Boss unaachaje kucheza ujishindie mamilioni ya pesa, Soko la bure nk

5_20250209_190946_0004.png


Ni muhimu mamlaka zinahusika na masuala ya mitandao itunge sheria kuhusu kudhibiti mitandao ya simu kwa kutunza taarifa za mteja maana wakati mwingine makampuni ya simu yanaiba taarifa zetu.
 
Kwahiyo hupendi jinsi watu wa kamari wabavyokuita Boss
 
Hapo wanafeli sana, wanauza namba zetu kwa hao wachezesha kamali makusudi kabisa hii ni kero
 
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

View attachment 3230654

Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa kujirudia rudia kila siku kwenye simu yako.

View attachment 3230657

Unakuta mtu wala apendi kucheza michezo ya kamari lakini unakuta kila siku lazima apate tangazo la michezo ya kubashiri au umejishindia kiasi fulani cha pesa fanya hivi kujichukulia zawadi wakati ujacheza je hizi taarifa zinatoka wapi ?

View attachment 3230658

Asilimia kubwa taarifa hizi zinatoka kwenye makampuni ya simu ambayo ufanya kazi ya kuuza taarifa za wateja wao kwa makampuni mengine yanayohitaji huduma ya kujitangaza kuhusu jambo fulani labda kubashiri na kuweza kuwatumia watu waliojisajili kwenye huo mtandao.

View attachment 3230659

Wahanga wengi hawapendi kabisa hii michezo lakini hujikuta bila ridhaa yao wanakuta jumbe za kamari kwenye simu zao na wengi wanashindwa kujiondoa kwani hawajui hata wameunganishwa vipi inafika kipindi mpaka makampuni yanakukata pesa kwa huduma ambayo hata ujajiunga.

View attachment 3230661

Kiuwalisia jumbe zote tunazotumiwa za matangazo zingine hata hatujajiunga huwa zinakua taarifa binafsi za mteja zimeuzwa kwenda makampuni mengine ya kubashiri na kupelekea mteja bila kujua kupotea ambazo azipendi kwenye simu yake.

View attachment 3230662

Wakati mwingine unakuta umeiweka pesa kwenye simu yako utakuta jumbe za ajabu kama vile Boss unaachaje kucheza ujishindie mamilioni ya pesa, Soko la bure nk

View attachment 3230664

Ni muhimu mamlaka zinahusika na masuala ya mitandao itunge sheria kuhusu kudhibiti mitandao ya simu kwa kutunza taarifa za mteja maana wakati mwingine makampuni ya simu yanaiba taarifa zetu.
Unapojiunga nao unakubaliana na 'vigezo na mashariti kuzingatiwa' hapo ndo ulipopigwa,utapokea matangazo tu na jumbe nyingine,whether you like or not
 
Unapojiunga nao unakubaliana na 'vigezo na mashariti kuzingatiwa' hapo ndo ulipopigwa,utapokea matangazo tu na jumbe nyingine,whether you like or not
Hakuna sharti wala kigezo kinachosema kwamba wanauhuru wa kutoa taarifa za mteja ama kutuma jumbe zisizo husiana na huduma zao za muhimu ,
 
Hakuna sharti wala kigezo kinachosema kwamba wanauhuru wa kutoa taarifa za mteja ama kutuma jumbe zisizo husiana na huduma zao za muhimu ,
Kasome company policies za kampuni mojamoja 'hiyo ruhusa unawapa wakati unregister line' hahaha na ndo mkataba wako na wao
 
Teknolojia ni Yetu sote kipindi cha kampeni za uchaguzi makampuni ya simu na watu wa NIDA wanauza sana taarifa jwa vyama vya siasa. Unakuta chaka kina namba za simu za wapiga kura wote wa kata au jimbo la uchaguzi. Mnapokea tu jumbe za kuombwa kura kutoka namba inayokuja na jina la mgombea au la chama
 
Kasome company policies za kampuni mojamoja 'hiyo ruhusa unawapa wakati unregister line' hahaha na ndo mkataba wako na wao
Mkuu, kukiwa na ruhusa ya hivyo sasa si usalama wa mteja unakuwa hakuna.

Na makampuni ya mawasiliano siku zote yanachozingatia ni kulinda taarifa za mteja, iweje haya ya kwetu yaweke kabisa hiyo ruhusa kwenye policy zao??
 
Hapo Kwa kweli hii mitandao ya simu inakosea san
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

View attachment 3230654

Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa kujirudia rudia kila siku kwenye simu yako.

View attachment 3230657

Unakuta mtu wala apendi kucheza michezo ya kamari lakini unakuta kila siku lazima apate tangazo la michezo ya kubashiri au umejishindia kiasi fulani cha pesa fanya hivi kujichukulia zawadi wakati ujacheza je hizi taarifa zinatoka wapi ?

View attachment 3230658

Asilimia kubwa taarifa hizi zinatoka kwenye makampuni ya simu ambayo ufanya kazi ya kuuza taarifa za wateja wao kwa makampuni mengine yanayohitaji huduma ya kujitangaza kuhusu jambo fulani labda kubashiri na kuweza kuwatumia watu waliojisajili kwenye huo mtandao.

View attachment 3230659

Wahanga wengi hawapendi kabisa hii michezo lakini hujikuta bila ridhaa yao wanakuta jumbe za kamari kwenye simu zao na wengi wanashindwa kujiondoa kwani hawajui hata wameunganishwa vipi inafika kipindi mpaka makampuni yanakukata pesa kwa huduma ambayo hata ujajiunga.

View attachment 3230661

Kiuwalisia jumbe zote tunazotumiwa za matangazo zingine hata hatujajiunga huwa zinakua taarifa binafsi za mteja zimeuzwa kwenda makampuni mengine ya kubashiri na kupelekea mteja bila kujua kupotea ambazo azipendi kwenye simu yake.

View attachment 3230662

Wakati mwingine unakuta umeiweka pesa kwenye simu yako utakuta jumbe za ajabu kama vile Boss unaachaje kucheza ujishindie mamilioni ya pesa, Soko la bure nk

View attachment 3230664

Ni muhimu mamlaka zinahusika na masuala ya mitandao itunge sheria kuhusu kudhibiti mitandao ya simu kwa kutunza taarifa za mteja maana wakati mwingine makampuni ya simu yanaiba taarifa zetu.
 
Juzi nilisajili line ya voda na hazikupita ata dk 30 nikapokea ujumbe wa ile pesa itume kwa no hii
 
Makampuni yote yanatoa taarifa za Wateja aidha kwa mamlaka za Serikali au makampuni binafsi, nk.
 
Kasome company policies za kampuni mojamoja 'hiyo ruhusa unawapa wakati unregister line' hahaha na ndo mkataba wako

Kasome company policies za kampuni mojamoja 'hiyo ruhusa unawapa wakati unregister line' hahaha na ndo mkataba wako na wao
 
Back
Top Bottom