๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

1_20250209_190946_0000.png


Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa kujirudia rudia kila siku kwenye simu yako.

images (78).jpeg


Unakuta mtu wala apendi kucheza michezo ya kamari lakini unakuta kila siku lazima apate tangazo la michezo ya kubashiri au umejishindia kiasi fulani cha pesa fanya hivi kujichukulia zawadi wakati ujacheza je hizi taarifa zinatoka wapi ?

4_20250209_190946_0003.png


Asilimia kubwa taarifa hizi zinatoka kwenye makampuni ya simu ambayo ufanya kazi ya kuuza taarifa za wateja wao kwa makampuni mengine yanayohitaji huduma ya kujitangaza kuhusu jambo fulani labda kubashiri na kuweza kuwatumia watu waliojisajili kwenye huo mtandao.

3_20250209_190946_0002.png


Wahanga wengi hawapendi kabisa hii michezo lakini hujikuta bila ridhaa yao wanakuta jumbe za kamari kwenye simu zao na wengi wanashindwa kujiondoa kwani hawajui hata wameunganishwa vipi inafika kipindi mpaka makampuni yanakukata pesa kwa huduma ambayo hata ujajiunga.

6_20250209_190946_0005.png


Kiuwalisia jumbe zote tunazotumiwa za matangazo zingine hata hatujajiunga huwa zinakua taarifa binafsi za mteja zimeuzwa kwenda makampuni mengine ya kubashiri na kupelekea mteja bila kujua kupotea ambazo azipendi kwenye simu yake.

images (77).jpeg


Wakati mwingine unakuta umeiweka pesa kwenye simu yako utakuta jumbe za ajabu kama vile Boss unaachaje kucheza ujishindie mamilioni ya pesa, Soko la bure nk

5_20250209_190946_0004.png


Ni muhimu mamlaka zinahusika na masuala ya mitandao itunge sheria kuhusu kudhibiti mitandao ya simu kwa kutunza taarifa za mteja maana wakati mwingine makampuni ya simu yanaiba taarifa zetu.
 

Attachments

  • 4_20250209_190946_0003.png
    4_20250209_190946_0003.png
    324.1 KB · Views: 3
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

View attachment 3230665

Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa kujirudia rudia kila siku kwenye simu yako.

View attachment 3230667

Unakuta mtu wala apendi kucheza michezo ya kamari lakini unakuta kila siku lazima apate tangazo la michezo ya kubashiri au umejishindia kiasi fulani cha pesa fanya hivi kujichukulia zawadi wakati ujacheza je hizi taarifa zinatoka wapi ?

View attachment 3230668

Asilimia kubwa taarifa hizi zinatoka kwenye makampuni ya simu ambayo ufanya kazi ya kuuza taarifa za wateja wao kwa makampuni mengine yanayohitaji huduma ya kujitangaza kuhusu jambo fulani labda kubashiri na kuweza kuwatumia watu waliojisajili kwenye huo mtandao.

View attachment 3230672

Wahanga wengi hawapendi kabisa hii michezo lakini hujikuta bila ridhaa yao wanakuta jumbe za kamari kwenye simu zao na wengi wanashindwa kujiondoa kwani hawajui hata wameunganishwa vipi inafika kipindi mpaka makampuni yanakukata pesa kwa huduma ambayo hata ujajiunga.

View attachment 3230673

Kiuwalisia jumbe zote tunazotumiwa za matangazo zingine hata hatujajiunga huwa zinakua taarifa binafsi za mteja zimeuzwa kwenda makampuni mengine ya kubashiri na kupelekea mteja bila kujua kupotea ambazo azipendi kwenye simu yake.

View attachment 3230674

Wakati mwingine unakuta umeiweka pesa kwenye simu yako utakuta jumbe za ajabu kama vile Boss unaachaje kucheza ujishindie mamilioni ya pesa, Soko la bure nk

View attachment 3230676

Ni muhimu mamlaka zinahusika na masuala ya mitandao itunge sheria kuhusu kudhibiti mitandao ya simu kwa kutunza taarifa za mteja maana wakati mwingine makampuni ya simu yanaiba taarifa zetu.
Hao ni tigo aka yas ndio wenye mambo hizo
 
๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฒ๐—ท๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ผ

View attachment 3230665

Nazani kwenye simu yako kwa siku unaweza kupokea ujumbe mbalimbali za matangazo haswa matangazo ya kubashiri au kubahatisha (bahati nasibu) zikiwa zinakushawishi kucheza mchezo fulani ili ufanikiwe ni ujumbe ambao unakuja kwa kujirudia rudia kila siku kwenye simu yako.

View attachment 3230667

Unakuta mtu wala apendi kucheza michezo ya kamari lakini unakuta kila siku lazima apate tangazo la michezo ya kubashiri au umejishindia kiasi fulani cha pesa fanya hivi kujichukulia zawadi wakati ujacheza je hizi taarifa zinatoka wapi ?

View attachment 3230668

Asilimia kubwa taarifa hizi zinatoka kwenye makampuni ya simu ambayo ufanya kazi ya kuuza taarifa za wateja wao kwa makampuni mengine yanayohitaji huduma ya kujitangaza kuhusu jambo fulani labda kubashiri na kuweza kuwatumia watu waliojisajili kwenye huo mtandao.

View attachment 3230672

Wahanga wengi hawapendi kabisa hii michezo lakini hujikuta bila ridhaa yao wanakuta jumbe za kamari kwenye simu zao na wengi wanashindwa kujiondoa kwani hawajui hata wameunganishwa vipi inafika kipindi mpaka makampuni yanakukata pesa kwa huduma ambayo hata ujajiunga.

View attachment 3230673

Kiuwalisia jumbe zote tunazotumiwa za matangazo zingine hata hatujajiunga huwa zinakua taarifa binafsi za mteja zimeuzwa kwenda makampuni mengine ya kubashiri na kupelekea mteja bila kujua kupotea ambazo azipendi kwenye simu yake.

View attachment 3230674

Wakati mwingine unakuta umeiweka pesa kwenye simu yako utakuta jumbe za ajabu kama vile Boss unaachaje kucheza ujishindie mamilioni ya pesa, Soko la bure nk

View attachment 3230676

Ni muhimu mamlaka zinahusika na masuala ya mitandao itunge sheria kuhusu kudhibiti mitandao ya simu kwa kutunza taarifa za mteja maana wakati mwingine makampuni ya simu yanaiba taarifa zetu.
Nchi ikisha kuwa na viongozi wa hovyo na uongozi wa hovyo, ni lazima itakuwa na mambo ya hovyo hovyo mengi sana na ndivyo ilivyo kwa Tanganyika yetu
 
Back
Top Bottom