Kuna baadhi ya mashabiki wa Simba na Yanga wapuuzi sana, sasa suala la Feitoto linahusiana vipi na biashara za Azam

Kuna baadhi ya mashabiki wa Simba na Yanga wapuuzi sana, sasa suala la Feitoto linahusiana vipi na biashara za Azam

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Vyombo vya habari mnasikitisha sana, yaani wapuuzi wanakutana, wanapanga kwenda kuongea na nyie waandishi, hoja kubwa hawajui Feitoto alipo, wanatuhumu azam kwa kumrubuni, halafu walivokuwa wehu eti wanatuhamasisha tusinunue bidhaa za azam, mliokwenda kuongea na waandishi wa habari Leo kuhusu suala la feitoto ni wazembe na wazurulaji wakubwa, pumbavu kabisa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Hao wapuuzi ni mitizamo yao binafsi,nimetoka kupiga Azam Tropical mda si mrefu.

Kwenye usajili huo uhuni upo na ndio maana hata FIFA wameweka sheria za utaratibu wa kufuata unapotaka kusajili mchezaji mwenye mkataba, sababu walitegemea kuna klabu zitatumia nguvu zao za fedha bila kufuata utaratibu.

Azam club bidhaa nyingine, Azam juice/ngano/sukari bidhaa nyingine, hao wanaopiga kelele kwao wameweka madish ya Azam kama vipi wangeanza kuyatoa kabla ya kufanya press.
 
Kipindi cha njaa alivumilia leo neema ipo wageni ndio wanalipwa hela nyingi kuliko yeye
 
Vyombo vya habari mnasikitisha sana, yaani wapuuzi wanakutana, wanapanga kwenda kuongea na nyie waandishi, hoja kubwa hawajui Feitoto alipo, wanatuhumu azam kwa kumrubuni, halafu walivokuwa wehu eti wanatuhamasisha tusinunue bidhaa za azam, mliokwenda kuongea na waandishi wa habari Leo kuhusu suala la feitoto ni wazembe na wazurulaji wakubwa, pumbavu kabisa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Mpuuzi wewe na washabiki wenzako wa Yanga,Simba inahusika vipi kwenye mpango wenu wa kususia bidhaa za Azam? Unazo akili za kukutosha kweli wewe?
 
Vyombo vya habari mnasikitisha sana, yaani wapuuzi wanakutana, wanapanga kwenda kuongea na nyie waandishi, hoja kubwa hawajui Feitoto alipo, wanatuhumu azam kwa kumrubuni, halafu walivokuwa wehu eti wanatuhamasisha tusinunue bidhaa za azam, mliokwenda kuongea na waandishi wa habari Leo kuhusu suala la feitoto ni wazembe na wazurulaji wakubwa, pumbavu kabisa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe mpuuzi sasa biashara ya fei inahusiana na wewe?au unaleta uchawa tu
 
Vyombo vya habari mnasikitisha sana, yaani wapuuzi wanakutana, wanapanga kwenda kuongea na nyie waandishi, hoja kubwa hawajui Feitoto alipo, wanatuhumu azam kwa kumrubuni, halafu walivokuwa wehu eti wanatuhamasisha tusinunue bidhaa za azam, mliokwenda kuongea na waandishi wa habari Leo kuhusu suala la feitoto ni wazembe na wazurulaji wakubwa, pumbavu kabisa.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ni ujinga wa hali ya juu mkuu
 
Back
Top Bottom