Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Just imagine kuna taasisi/Shirika gawio lake kwa Serikali leo hii imetoa mamilioni ya fedha/Billions plus.
Wengine taasisi zetu hata Millions 50 zimeshindwa😁.
Taasisi/ Mashariki kama haya ndio yanakula keki ya Taifa kwa utulivu kwani yanaweza kujiendesha na kulipa mishahara kwa watumishi wake kwa namna wanavyotaka..
Hongereni sana,
TPHPA nimewaona.
Wengine taasisi zetu hata Millions 50 zimeshindwa😁.
Taasisi/ Mashariki kama haya ndio yanakula keki ya Taifa kwa utulivu kwani yanaweza kujiendesha na kulipa mishahara kwa watumishi wake kwa namna wanavyotaka..
Hongereni sana,
TPHPA nimewaona.