Kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga Kila kwa kisingizio biashara hii inalipa

Kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga Kila kwa kisingizio biashara hii inalipa

Shozylin

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
341
Reaction score
699
Kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga Kila kitu, kuna Uzi mmoja wa jamaa anazungumzia bishara zinazo lipa zaidi kuliko baadhi ya watumishi serikalini.

Ajabu nikwamba, mtu anatokea kupinga bishara flani kutolipa wakati idea za bishara zinazo lipa kazikumbatia kwapani.!

Tunona Kila siku wanabadiri magari, nyumba zinajengwa na biashara wanazo miliki ni hizi hizi zinazo tajwa daily na ndizo zilizopo mitaani, basi Kama unapinga tupe deal au biashara zianazo lipa wahuni wajilipue nazo.

Kama huna hizo idea kaa kmya au pinga kwa akili basi.
 
Sasa ukipingwa kule ndio uje kuanzisha mada nyingine kwa I'd tofauti?
 
Nilikua natumia WiFi ya bure hapa ofisini na ndo nilikua naondoka na gari nikaona niandike chap, isije ikaacha kusoma nikapata kazi ya kutype upya.
Sasa hapa ndio umeandika nini tena? Wapi wanamfanyakazi wa namna hii ambaye hajui anaandika nini mbele za watu?😀😀😀
 
Fuatilia nyuma ya hizo biashara nini kinaendelea japo si zote ila nyingi zinaendeshwa kwa kukwepa kodi, ushirikina, utakatishaji fedha(biashara inakuwa kama kiini macho tu),mali za maghendo.
 
Back
Top Bottom