Kuna bia za TBL zinabagua Kanda?

Kuna bia za TBL zinabagua Kanda?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa.

Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
 
Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa.

Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
Hivi Unataka BALIMI uipate Arusha kweli?
 
Ile Bia ni Bia ya Wanaume Shoka washamba fulani hivi wazee wa Kazi Kazi. Sasa unategemea hii bia wainywe Shemeji zangu Wazaramo si watakohoa mpaka Utumbo.
Balimi cha mototo sana mbele ya Bingwa!
Issue ni uzalishaji, uzalishaji mkubwa wa Balimi unafanyika Mwanza na ni fahari yetu Wasukuma.
 
Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa.

Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
Ndio maana mnatakiwa muende shule, ungesoma ungekuwa na jibu la kwanini bia chapa tofauti zinauzwa kikanda.
 
Back
Top Bottom