Sio bia moja we sema tu "BALIMI"Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa. Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
Hivi Unataka BALIMI uipate Arusha kweli?Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa.
Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
Yuko kwenye utafiti, Watanzania wanapenda majungu kiasi gani? Kaamua kuja na ka stori ka bia. Kama Balimi hata Mbeya ipoKuleta habari kama hiyo bila kuweka wazi ni bia gani sasa unadhani humu ndani tutakusaidiaje kuleta habari bila taarifa kukamilika ni umbea weka picha
Kama balimi moshi zipo kwanini arusha zisiwepo?Hivi Unataka BALIMI uipate Arusha kweli?
Ile Bia ni Bia ya Wanaume Shoka washamba fulani hivi wazee wa Kazi Kazi. Sasa unategemea hii bia wainywe Shemeji zangu Wazaramo si watakohoa mpaka Utumbo.Hivi ni kwa nini hiyo bia ya BALIMI inapatikana zaidi eneo la Kanda ya Ziwa tu?
[emoji23][emoji23]Ile Bia ni Bia ya Wanaume Shoka washamba fulani hivi wazee wa Kazi Kazi. Sasa unategemea hii bia wainywe Shemeji zangu Wazaramo si watakohoa mpaka Utumbo.
Bia BingwaSio bia moja we sema tu "BALIMI"
Balimi ipo kila kona chief kwa bei rahisi sana ya 20,600/=Sio bia moja we sema tu "BALIMI"
Bingwa ipo sana nyanda za juu kusini.Bia Bingwa
Balimi cha mototo sana mbele ya Bingwa!Ile Bia ni Bia ya Wanaume Shoka washamba fulani hivi wazee wa Kazi Kazi. Sasa unategemea hii bia wainywe Shemeji zangu Wazaramo si watakohoa mpaka Utumbo.
Ndiko inakozalkshwa!Hivi ni kwa nini hiyo bia ya BALIMI inapatikana zaidi eneo la Kanda ya Ziwa tu?
Ndio maana mnatakiwa muende shule, ungesoma ungekuwa na jibu la kwanini bia chapa tofauti zinauzwa kikanda.Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa.
Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
Iliwadhalilisha watu miaka ya 90, matajiri waliachia kila kitu kwenye suruali na kupoteza fahamuBia Bingwa
Hii zamani ilikuwepo hata Mwanza,yaani miaka ya 2000 to 2001Soda ndio najua ginger ale ya bonite ndio ipo ukanda wa kaskazini pekee