Mbundenali
Member
- Jan 9, 2012
- 64
- 37
Wadau naomba msaada wenu huyu binti ana mdogo wake (me) anaumwa jino. Nimejaribu kumtuma aende kwa baba yk kama anaweza kumgharamia matibabu, binti ameniambia kuwa baba yake hana uwezo. Je nikitoa msaada bila mzazi kujua itakuwaje?
Saidia tu mkuu, ni hela ngapi unaziacha bar na washikaji?
Uyafanyayo watanyiwa pia binti zako na nduguzo. Sie wote ndugu. Hiyo tabia utaendelea nayo hadi maofisini, hapati mtu kazi hadi atoe rushwa ya ngono. Nadhani una umri mdogo bado, nasikitika sana unaelekea kubaya sana na kwenye laana. Mungu akusaidie. :thinking:
Kichwa cha bandiko ni tofauti na bandiko lenyewe....yawezekana pia mimi sielewi lakini naona majibu yanayotolewa kulinganisha na hoja ya mtoa mada ni mbingu na ardhi.
Wadau naomba msaada wenu huyu binti ana mdogo wake (me) anaumwa jino. Nimejaribu kumtuma aende kwa baba yk kama anaweza kumgharamia matibabu, binti ameniambia kuwa baba yake hana uwezo. Je nikitoa msaada bila mzazi kujua itakuwaje?