ili iwepo 'T' kwa mfano panapaswa kuwa na biti 8, ndio kusema kila biti 8 zinaunda baiti 1. Kwa hiyo character yeyote moja ina baiti 1 (inahusisha characters, letters, numbers, n.k.)
Kwa hiyo 'THIS IS JAMIIFORUMS' ina baiti zianazolingana na idadi ya characters iliyonazo (pamoja na space)