Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Inawezekana makundi ya damu sikuhizi ni mengi sana!Naomba msaada wa kujua kama kuna blood group E negative, maana kuna ndugu yangu ameambiwa amepungukiwa damu inatakiwa mtu mwenye blood group E negative
Me najua kuna A,B,AB na O tu
Naomba msaada wa kujua kama kuna blood group E negative, maana kuna ndugu yangu ameambiwa amepungukiwa damu inatakiwa mtu mwenye blood group E negative
Me najua kuna A,B,AB na O tu
kuna O negative, nadhani ndio litakuwa hilo, ila wamechanganya.Inawezekana makundi ya damu sikuhizi ni mengi sana!
Lakini makundi makuu yanayojulikana sana ni hayo ulotaja.
Nadhani mtakuwa mmechanganya hiyo itakuwa ni group O negative!! hili group ni shidaaaa!!! ni la watu wachache sana duniani nikiwemo mimi!! Jaribuni kuhangaika
O(-) nyingi ni wazungu waafrika wengi ni O(+) ndo maana wazungu walipompima mwafrika kwa mara ya kwanzakuna O negative, nadhani ndio litakuwa hilo, ila wamechanganya.
O(-) nyingi ni wazungu waafrika wengi ni O(+) ndo maana wazungu walipompima mwafrika kwa mara ya kwanza
na kugunduwa ni O(+) walihisi ni nyani! Nyani wengi ni O(+) hapo ndo theory ya Rhesus factor ilipolalia!
negativity au positivity ya kundi la damu inaitwa Rhesus factor!
O(-) nyingi ni wazungu waafrika wengi ni O(+) ndo maana wazungu walipompima mwafrika kwa mara ya kwanza
na kugunduwa ni O(+) walihisi ni nyani! Nyani wengi ni O(+) hapo ndo theory ya Rhesus factor ilipolalia!
negativity au positivity ya kundi la damu inaitwa Rhesus factor!
Wizi tu na ufisadi wa nyinyiem ni marufuku kununuwa damu! Ile damu tunayoitoa pale tunapokuwa na mgonjwa ni barter trade tu ya Kiswahili!mkuu if so why tunalalamika blood bank hakuna damu kwann tusikamate hawa ngadu tutoe damu zao
Wakuu msaada nasikia kuna aina ya group ya damu watu wenye damu aina hiyo hata wakipata maambukizi ya ukimwi hawawezi kuugua je ni kweli au uongo