DOKEZO Kuna bomba kubwa limepasuka Ubungo darajani zaidi ya miaka 4 sasa na Dawasco wanalipita kama hawalioni

DOKEZO Kuna bomba kubwa limepasuka Ubungo darajani zaidi ya miaka 4 sasa na Dawasco wanalipita kama hawalioni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Ukiwa unatokea riverside kuna daraja kubwa la mto chini ya mto utakuta kuna kundi kubwa la kina mama wanafua kupitia bomba kubwa la dawasco lililopasuka.

Kupasuka bomba sio ajabu ila chakushangaza lile bomba lina miaka 4 tokea 2020 mpaka leo dawasco hawana mpango wa kuliziba.

Kituko kingine ni wa eneo la ubungo wanashida ya maji ambayo ni kama week ya pili kuna sehemu hayajatoka kwa hiyo ukipita pale ni kawaida kuona group kubwa la watu hasa wamama wanafua sababu maeneo yao hakuna maji.

Ni kawaida kusikia dawasco wanasema kuna shida ya maji ilihali kuna mabomba yamepasuka yanazaidi ya miaka 4 Haya ndo maajabu ya dawasco na Tanzania.
 
Picha tafadhali. Niko hapa Dawasco majini, mbona hali ni shwari kabisa. 🙂
 
Ukiwa unatokea riverside kuna daraja kubwa la mto chini ya mto utakuta kuna kundi kubwa la kina mama wanafua kupitia bomba kubwa la dawasco lililopasuka.

Kupasuka bomba sio ajabu ila chakushangaza lile bomba lina miaka 4 tokea 2020 mpaka leo dawasco hawana mpango wa kuliziba.

Kituko kingine ni wa eneo la ubungo wanashida ya maji ambayo ni kama week ya pili kuna sehemu hayajatoka kwa hiyo ukipita pale ni kawaida kuona group kubwa la watu hasa wamama wanafua sababu maeneo yao hakuna maji.

Ni kawaida kusikia dawasco wanasema kuna shida ya maji ilihali kuna mabomba yamepasuka yanazaidi ya miaka 4 Haya ndo maajabu ya dawasco na Tanzania.
Hata huko Kahama manispaa nilikuwa hapo kwa miezi Tisa Hadi septemba mwaka huu mabomba sehemu 7 maji yanavuja ila Wala HAWAJALI kabisaaa !
 
NA HELA ZINATUMIKA KILA SIKU KUPUMP HAYO MAJI ............ TATIZO SIO HELA ZAO NI HELA ZA WATEJA WAO
 
Watalifanyia kazi ila Dawasco hatuna tena walibadili jina na kuitwa Dawasa
 
Uzembe mahali pppote lawama ziende kwa Mwajiri TOP of all Rais.

Ukiona watoto wana tabia mbaya chafu mbele za wageni, shida sio watoto shida ni Malezi ya Wazazi wao.

Dawasa ni watoto tu... 2025 tafuteni Mzazi anaejitambua.
 
Back
Top Bottom