Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.

Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.

Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.

Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.

Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.

Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.

Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.

Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
 
Huwa nilitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hisusani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama.imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Mkuu kwan ilani ya tangu 2015 inasemaje kuhusu kutengeneza ajira? Maana tangu enzi hiyo waajiriwa kupata stahiki zao ilikuwa ngumu kuajiriwa wapya ngumu! Sasa iweje zigo ulishushie kwa utawala huu? Mara maridhiano mara asali. Maridhiano yanaingiaje kwenye issue ya ukosefu wa ajira?
 
Na hawa ndio watu pekee watakao tusaidia kuwatoa CCM madarakani, acha wajae tu mkuu siku wakichoka itakuwa rahisi sana kukitoa hiki kizazi cha watu walio laaniwa(CCM), mimi nikiona ma-jobless wanaongezeka mitaani kwakweli nafarijika sana naamini hawa ndio watu pekee wa kulikomboa hili taifa siku wakiamka.

Hawa CHADEMA na act wazalendo ni CCM wale wale tu hawana jipya tena, wazazi tafadhali sana pelekeni vijana wenu vyuoni wakasome taifa linaangamizwa na wajinga wachache.
 
Na hawa ndio watu pekee watakao tusaidia kuwatoa ccm madarakani, acha wajae tu mkuu siku wakichoka itakua rahisi sana kukitoa hiki kizazi cha watu walio laaniwa(ccm), mimi nikiona ma-jobless wanaongezeka mitaani kwakweli nafarijika sana naamini hawa ndio watu pekee wa kulikomboa hili taifa siku wakiamka. Hawa chadema na act wazalendo ni ccm wale wale tu hawana jipya tena, wazazi tafadhali sana pelekeni vijana wenu vyuoni wakasome taifa linaangamizwa na wajinga wachache.
Tutashukuru kama akili hizo wanazo🤒
 
Huwa nilitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hisusani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama.imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
ruma sana vijana na badala ya serikali kashughulikia swala hiloa ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Our education system is irrelevant to the current situation...... Serekali itaajiri wangapi?
 
Huwa nilitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hisusani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama.imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Ni hatari sana. Lakini kwa upande wa wananchi tuwe makini pia unapokwenda chuo unakwenda kusoma nini. Ni vizuri kujielekeza katika kozi/mafunzo ambayo unaweza ukajiajiri na ukaajiriwa, kozi ambazo bado ni hot katika soko la ajira na zinaweza zikakufanya ukajiajiri.

Mathalani mtu unakwenda chuo kikuu kusoma Human Resources - unategemea nini? Au unasoma agriculture lakini unataka ufanye kazi ofisini kwenye kiyoyozi. Au mtu unakwenda chuo kusoma Bee Keeping, lakini hutaki kuwa mfuga nyuki uvune asali......
 
ni hatari sana. Lakini kwa upande wa wananchi tuwe makini pia unapokwenda chuo unakwenda kusoma nini. Ni vizuri kujielekeza katika kozi/mafunzo ambayo unaweza ukajiajiri na ukaajiriwa, kozi ambazo bado ni hot katika soko la ajira na zinaweza zikakufanya ukajiajiri.
mathalani mtu unakwenda chuo kikuu kusoma Human Resources - unategemea nini?, au unasoma agriculture lakini unataka ufanye kazi ofisini kwenye kiyoyozi. Au mtu unakwenda chuo kusoma Bee Keeping, lakini hutaki kwenda vijijini ukaanzisha ufugaji wa nyuki......
Ajira zenyewe zilizobaki ni bodaboda
 
Huwa nilitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hisusani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama.imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Eti elimu bure kuanzia la kwanza hadi Form Four wakati Sekondari walimu hawatoshi na wasomi wanazurura mitaani, hii akili tumeitoa wapi?
 
ni hatari sana. Lakini kwa upande wa wananchi tuwe makini pia unapokwenda chuo unakwenda kusoma nini. Ni vizuri kujielekeza katika kozi/mafunzo ambayo unaweza ukajiajiri na ukaajiriwa, kozi ambazo bado ni hot katika soko la ajira na zinaweza zikakufanya ukajiajiri.
mathalani mtu unakwenda chuo kikuu kusoma Human Resources - unategemea nini?, au unasoma agriculture lakini unataka ufanye kazi ofisini kwenye kiyoyozi. Au mtu unakwenda chuo kusoma Bee Keeping, lakini hutaki kuwa mfuga nyuki uvune asali......
Hapa nchini hatuheshimu kabisa taaluma.

Wenye kula keki ni wanasiasa tu.

Kila siku yanaibuka misamiati mipya kujustify kula kwao.

Sasa hivi kuna kitu kinaitwa maridhiano huu ndio msamiati mpya kwa sasa.

Kama taaluma zingeheshimika usingekuta watu wanasoma bila kujua kama ataweza kujiajiri au kuajiriwa.

Ila hapa Tanzania unakuta mpaka mwenye PHD hana uhakika na maisha.
 
Magufuli shetani ndo kaharibu Elimu ya TANZANIA kafukuza wawekezaji kazuia Ajira za serikali yaani Mbwa yule achomwe tu moto
Tunambebesha Samia lawama za bure tu. Yule Magufuli aliharibu mfumo mzima wa ajira na kipato katika nchi. Kwanza kwa kuanzisha miradi ambayo haina maana kama bwawa la Mwl Nyerere, kujenga viwanja vya hovyo vya ndege, kujenga Dodoma pasi na sababu, kunyima wafanyakazi haki ya msingi ya nyongeza ya mshahara na kuharibu kipato cha familia, kufukuzisha watu kazi hovyo, kuharibu mfumo wa mafao kwa wastaafu na sekta binafsi, kuharibu sekta binafsi, kuharibu mfumo wa siasa wa nchi na mwisho kufa kifo cha kizembe kwaajili ya ujuaji wa kijinga tu. Bye Magufuli.
 
Uko sahihi kabisa kuwa mfumo wa ajira nchini umeharibiwa na Magufuri na hilo halina ubishi,Je,tufanyeje ili kuondokana na hilo?
Kama ukiangalia kwa umakini mfumo unarejea kwa taratibu hata unmployment rate sio kubwa Kama wakati wa Magufuli maana sector binafsi zimeanza kujijenga then Vigezo vya Kupata passport vinaanza kuwekwa sawa ili watu twende nje kutafta green pastures so Magufuli shetani na kaharibu hii nchi
 
Magufuli shetani ndo kaharibu Elimu ya TANZANIA kafukuza wawekezaji kazuia Ajira za serikali yaani Mbwa yule achomwe tu moto
CCM ndio kiini cha yote haya.

JPM alikuwa ni rangi tu katika rangi tofauti za huyu kinyonga(ccm).
Tusiingie kwenye mtego wa kupambana na rangi za kinyonga badala yake tupambane na kinyonga mwenyewe.
 
Tunambebesha Samia lawama za bure tu. Yule Magufuli aliharibu mfumo mzima wa ajira na kipato katika nchi. Kwanza kwa kuanzisha miradi ambayo haina maana kama bwawa la Mwl Nyerere, kujenga viwanja vya hovyo vya ndege, kujenga Dodoma pasi na sababu, kunyima wafanyakazi haki ya msingi ya nyongeza ya mshahara na kuharibu kipato cha familia, kufukuzisha watu kazi hovyo, kuharibu mfumo wa mafao kwa wastaafu na sekta binafsi, kuharibu sekta binafsi, kuharibu mfumo wa siasa wa nchi na mwisho kufa kifo cha kizembe kwaajili ya ujuaji wa kijinga tu. Bye Magufuli.
Yule mjinga hafai maana zamani utawala wa Kikwete degrees Ilikuwa ni kitu Cha thamani Sana. Huyu SHETANI kaharibu mifumo Kuanzia sectors binafsi na Serikali.
 
Kama ukiangalia kwa umakini mfumo unarejea kwa taratibu hata unmployment rate sio kubwa Kama wakati wa Magufuli maana sector binafsi zimeanza kujijenga then Vigezo vya Kupata passport vinaanza kuwekwa sawa ili watu twende nje kutafta green pastures so Magufuli shetani na kaharibu hii nchi
Sawa kabisa.
 
CCM ndio kiini cha yote haya.

JPM alikuwa ni rangi tu katika huyu kinyonga(ccm).
Tusiingie kwenye mtego wa kupambana na rangi za kinyonga badala yake tupambane na kinyonga mwenyewe.
Sijakataa, CCM imechangia lakini pia wakulaumiwa zaidi ni yule kichaa ambaye aliharibu hata nguvu ya CCM ya kuhoji viongozi, akaasisi siasa za kusifia nanuchawa, Aliasisi siasa za kulipiza kisasi,akaharibu mfumo mzima wa mahakana, jeshi la polisi, JWTZ, usalam wa taifa na ofisi ya Taifa ya Mashtaka. Huyu mtu hakuwa kiumbe chakawaida. Ila Mungu fundi sana.
 
ni hatari sana. Lakini kwa upande wa wananchi tuwe makini pia unapokwenda chuo unakwenda kusoma nini. Ni vizuri kujielekeza katika kozi/mafunzo ambayo unaweza ukajiajiri na ukaajiriwa, kozi ambazo bado ni hot katika soko la ajira na zinaweza zikakufanya ukajiajiri.
mathalani mtu unakwenda chuo kikuu kusoma Human Resources - unategemea nini?, au unasoma agriculture lakini unataka ufanye kazi ofisini kwenye kiyoyozi. Au mtu unakwenda chuo kusoma Bee Keeping, lakini hutaki kuwa mfuga nyuki uvune asali......
Upo sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom