*"""Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters"""
Uko wapi nikuletee walimu 200 wanaozurura mtaani sasa hivi mwaka wa 3 ukawape ajira kwenye hizo shule za kata?
Anajitoa ufahamu huyo, wakati jiwe ndie aliyeongeza ukosefu wa ajira kushindwa kuajiri wahitimu wa vyuo vikuu huku akijificha nyuma ya wamachinga na boda na kuwafanya wafanye shughuli zao popote pale baada ya kushindwa kutoa ajira.Mkuu kwan ilani ya tangu 2015 inasemaje kuhus kutengeneza ajira? Maan tang enz hiyo waajiriwa kupata stahiki zao ilikua ngumu kuajiriwa wapya ngum! Sasa iweje zigo ulishushie kwa utawala huu? Mara maridhiano mara asali. Maridhiano yanaingiaje kweny issue ya ukosef wa ajira?
Shida kubwa ilisababishwa na Magufuli alisimamisha kila kitu, kwenye UALIMU ndio aliharibu kabisa mtu unaanza na TGTS D1 kama ni degree ambayo ni 716.000 unafuu ulikuwa kupanda daraja yeye akaongeza miaka ya kupanda daraja kutoka minne kwenda mitano. HAKUWA KABISA NA UBINADAMU.Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioani hajauza hata miatano na anataka kula na anafamilia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.
Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.
Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.
Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.
Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.
Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.
Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya serikali kashughulikia swala hiloa ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Kwakweli sijui tumeitoa wapiEti elimu bure kuanzia la kwanza hadi Form Four wakati Sekondari walimu hawatoshi na wasomi wanazurura mitaani,hii akili tumeitoa wapi?
Njoo mkoa wa Mwanza wilaya ya Kwimba kata ya Maligisu kuna shule mpya hapa Maligisu Center ina walimu 2 tuuu.Miradi gani hiyo ya jamii iliyobuniwa nchi hii ikakosa watu wa kuisamamia ??
Kuna mradi wa serikali unaoweza kuajiri hata watu elfu kumi?? Kila mwaka malaki ya vijana wanaingia kutafuta ajira ila wanachaoambulia wachache tu ni kuendesha bodaboda, kuuza pipi, maji na karanga barabarani na stendi, kutemba laini, umachinga na ajira nyingine za ajabu ajabu kama hizo.
Msidanganye watu kwamba nchi hii ina upungufu wa watu wa kutoa nguvu kazi.
Overpopulation is real.
Upuuzi wa kiwango cha ramiOverpopulation ni tatizo kubwa linalochangia ukosefu wa ajira. Kasi ya ukuaji wa idadi ya watu inabidi kudhibitiwa ukichangia kasi ya ukuaji uchumi wetu ni ndogo.
Non senseMagufuli ndiye alisimama hadharani akadanganya wajinga Wafyatue watoto bila kujua mzigo ni wa familia huku yeye akila urojo Ikulu. Hovyo sana
Swali la msingiOur education system is irrelevant to the current situation......serekali itaajiri wangapi?
Hebu tupe mfano au jina la daktari mmoja dereva wa bodaboda au muuza kahawa.*"""Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters"""
Una hakika amefaulu? Siyo hoja kupiga miaka mitano Muhimbili. Au vyeti feki lakini cheti cha MD cha uhakika hakuna dereva bodaboda wala muuza kahawa mtaani. Anaweza kukaa mwaka mmoja au miwili lakini kazi anapata hata kwenye private hospital.Nenda pale posta katikati Kuna jamaa anaendesha bodaboda anaitwa sareh juma anatoka kigamboni. Amemaliza muhimbili MD lakini anaendesha boda
Mi nazungumzia MD siyo walimu. Hata hapa mtaani mjimwema wapo ma MD kibao kipindi Cha jk ndo ulikuwa huwezi kumkuta MD mtaani Hana ajairauna hakika amefaulu? Siyo hoja kupiga miaka mitano Muhimbili. Au vyeti feki lakini cheti cha MD cha uhakika hakuna dereva bodaboda wala muuza kahawa mtaani. Anaweza kukaa mwaka mmoja au miwili lakini kazi anapata hata kwenye private hospital.
Sizungumzii vyeti vya ualimu au sociologists
Kama ni halikulipuka kipindi kile ambacho ajira 0 zilikuwa zikitolewa na serikali lije lilipuke muda huu?Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioani hajauza hata miatano na anataka kula na anafamilia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.
Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.
Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.
Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.
Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.
Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.
Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya serikali kashughulikia swala hiloa ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Our education system is irrelevant to the current situation......serekali itaajiri wangapi?
Good sasa hiii hata mi nilishangaa kama wewe... Ndo mana nimeweka "" x"" means nimenukuuhebu tupe mfano au jina la daktari mmoja dereva wa bodaboda au muuza kahawa.
Wapo mkuu tena kuna mwamba nauza nae mitumba ni md kahitimu Bugando, na intern kapiga Benjamin Mkapa!una hakika amefaulu? Siyo hoja kupiga miaka mitano Muhimbili. Au vyeti feki lakini cheti cha MD cha uhakika hakuna dereva bodaboda wala muuza kahawa mtaani. Anaweza kukaa mwaka mmoja au miwili lakini kazi anapata hata kwenye private hospital.
Sizungumzii vyeti vya ualimu au sociologists