WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Mfumo wa chama kimoja kuhodhi madaraka ya vyama vingine.Hii nchi imeharibiwa baada ya siasa kupewa kipaumbele na hivyo kuwafanya wanasiasa kuwa na nguvu na hivyo kutaka kufanya kila jambo kisiasa siasa, na hii ni toka enzi za mwalimu.........matatizo yote yanayoikumba nchi ni kutokana na mfumo wa hovyo wa kisiasa.
Hoja ya mtoa mada ni kwamba tatizo lipo hivi sasa. Haisaidii kusema kwamba limekuwepo tangu majuzi. Nia ya mtoa mada ni kwamba ufumbuzi utafutwe. Kufahamu kwamba tatizo limekuwepo tangu majuzi hakutusaidii kulitatua. Huko ni kujaribu kupalilia kwenye uongozi wa sasa kwa kutupia lawama kwenye Ilani ya 2015. Kama uongozi wa sasa una tatizo na Ilani hiyo, ujitokeze hadharani na kusema Ilani hiyo haitekelezeki kwa sababu kadha wa kadha. La sivyo, tunaficha madhaifu yetu kwa kulaumu tu uongozi uliopita.Mkuu kwan ilani ya tangu 2015 inasemaje kuhus kutengeneza ajira? Maan tang enz hiyo waajiriwa kupata stahiki zao ilikua ngumu kuajiriwa wapya ngum! Sasa iweje zigo ulishushie kwa utawala huu? Mara maridhiano mara asali. Maridhiano yanaingiaje kweny issue ya ukosef wa ajira?
Sijui kwanini unaamini kwa wanasiasa iwe ccm au Chadema hakuna chama kipo kwaajili ya maslahi ya watu ndio maana hata Wapinzani sasa hivi nao wanalamba asali pamoja na CCMNa hawa ndio watu pekee watakao tusaidia kuwatoa ccm madarakani, acha wajae tu mkuu siku wakichoka itakua rahisi sana kukitoa hiki kizazi cha watu walio laaniwa(ccm), mimi nikiona ma-jobless wanaongezeka mitaani kwakweli nafarijika sana naamini hawa ndio watu pekee wa kulikomboa hili taifa siku wakiamka. Hawa chadema na act wazalendo ni ccm wale wale tu hawana jipya tena, wazazi tafadhali sana pelekeni vijana wenu vyuoni wakasome taifa linaangamizwa na wajinga wachache.
Kwanini tatizo la tangu 2015 ila lionekane sasa? Ajira hakuna miaka mingi nchi hii but awamu ya tano ndio kbs issue ya ajira ilikua changamoto hata kupandishwa madaraja marufuku kulipwa pesa wafanyakaz ilikua mtihan hasa madeni yao! Sometimes tuwe tu wakwel tatizo la ajira asitupiwe Samia kbs cz ni janga la muda mref!!! Hili jumba bovu watupiwe CCM in general but sio Samia!!Hoja ya mtoa mada ni kwamba tatizo lipo hivi sasa. Haisaidii kusema kwamba limekuwepo tangu majuzi. Nia ya mtoa mada ni kwamba ufumbuzi utafutwe. Kufahamu kwamba tatizo limekuwepo tangu majuzi hakutusaidii kulitatua. Huko ni kujaribu kupalilia kwenye uongozi wa sasa kwa kutupia lawama kwenye Ilani ya 2015. Kama uongozi wa sasa una tatizo na Ilani hiyo, ujitokeze hadharani na kusema Ilani hiyo haitekelezeki kwa sababu kadha wa kadha. La sivyo, tunaficha madhaifu yetu kwa kulaumu tu uongozi uliopita.
Kwann tatizo la tang 2015 ila lionekane sasa? Ajira hakuna miaka mingi nchi hii but awam ya tano ndio kbs issue ya ajira ilikua changamoto hata kupandishwa madaraja marufuku kulipwa pesa wafanyakaz ilikua mtihan hasa madeni yao! Sometimes tuwe tu wakwel tatizo la ajira asitupiwe Samia kbs cz ni janga la muda mref!!! Hili jumba bovu watupiwe CCM in general but sio Samia!!
Pumbavu zako chawa....Mkuu kwan ilani ya tangu 2015 inasemaje kuhus kutengeneza ajira? Maan tang enz hiyo waajiriwa kupata stahiki zao ilikua ngumu kuajiriwa wapya ngum! Sasa iweje zigo ulishushie kwa utawala huu? Mara maridhiano mara asali. Maridhiano yanaingiaje kweny issue ya ukosef wa ajira?
Hii nchi imeharibiwa baada ya siasa kupewa kipaumbele na hivyo kuwafanya wanasiasa kuwa na nguvu na hivyo kutaka kufanya kila jambo kisiasa siasa, na hii ni toka enzi za mwalimu.........matatizo yote yanayoikumba nchi ni kutokana na mfumo wa hovyo wa kisiasa.
Sasa hapo umemsimanga au umemsifia??!Tunambebesha Samia lawama za bure tu. Yule Magufuli aliharibu mfumo mzima wa ajira na kipato katika nchi. Kwanza kwa kuanzisha miradi ambayo haina maana kama bwawa la Mwl Nyerere, kujenga viwanja vya hovyo vya ndege, kujenga Dodoma pasi na sababu, kunyima wafanyakazi haki ya msingi ya nyongeza ya mshahara na kuharibu kipato cha familia, kufukuzisha watu kazi hovyo, kuharibu mfumo wa mafao kwa wastaafu na sekta binafsi, kuharibu sekta binafsi, kuharibu mfumo wa siasa wa nchi na mwisho kufa kifo cha kizembe kwaajili ya ujuaji wa kijinga tu. Bye Magufuli.
Yaani ukijitoa muhanga, hutopata 1000 tu, maana vijana wengi mtaani wamekata tamaa, wako tayari kwa lolote, sema wanakosa wa kulianzisha tu..Nataka nipate watu kama 1000 tuchukue nchi
Udini utakuua taahira we!Viongozi vilaza Kama Mbowe waliopata zero form six ndo wanajinasibu wataleta maendeleo na Magufuli alikuwa na PhD fake ya kutoka Udsm hi nchi vilaza ndo wanapata political mileage and nothing else.
We ni taahira kumbe!Shule za Kata zina walimu wa kutosha?
Kwani uongozi wa hii awamu ya sita uliingia kwa njia ya MAPINDUZI?Hoja ya mtoa mada ni kwamba tatizo lipo hivi sasa. Haisaidii kusema kwamba limekuwepo tangu majuzi. Nia ya mtoa mada ni kwamba ufumbuzi utafutwe. Kufahamu kwamba tatizo limekuwepo tangu majuzi hakutusaidii kulitatua. Huko ni kujaribu kupalilia kwenye uongozi wa sasa kwa kutupia lawama kwenye Ilani ya 2015. Kama uongozi wa sasa una tatizo na Ilani hiyo, ujitokeze hadharani na kusema Ilani hiyo haitekelezeki kwa sababu kadha wa kadha. La sivyo, tunaficha madhaifu yetu kwa kulaumu tu uongozi uliopita.
Pole sana ndugu yangu unayeamini kuwa bila Magufuri nchi haiwezi kwenda,uwepo wa Rais Samiah unakuonyesha waziwazi kuwa urais siyo ushujaa bali ni kuongoza nchi.Hata mtoto mdogo akipewa urais atafanya tu madam sheria zipo na vyombo vya ulinzi na usalama vipo.Utawala si ubabe utawala ni akili.We ni taahira kumbe!
Hujamwelewa hata mleta mada
Na samia akiendelea kujisahau huku nyie vilaza mkimpa moyo kwamba atalaumiwa Magufuli, hakika ataona kila rangi
Nchi ikiongozwa na zero brain lazima tukose maendeleoUdini utakuua taahira we!
Wewe hata mumeo akishindwa kusimamisha ili akupande utamlaumu Magufuli na Mbowe
Mfumo wa chama kimoja kuhodhi madaraka ya vyama vingine.