Kuna chama kinatumia wajinga kuendesha wasomi

Kuna chama kinatumia wajinga kuendesha wasomi

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Wameshindwa kusoma alama za nyakati.

E2D8FC30-56AB-45C4-BE2F-F3F44E9826E1.jpeg
 
Ndio maana Nkataba WA Bandari tunaona Sawa na bei ya mafuta inapanda
 
Naona kuna chama kinatumia zile mbinu chafu za "yule mwovu"
Kwani wana - C&P toka kwake yule mwovu, kwa vyovyote kina undugu nae
 
Akili kubwa kuongozwa na akili ndogo. Ndilo tatizo katika Africa.
Hao ndio wapiga kura siyo nyie keyboard warriors. We unaweza kupanga foleni upigwe na jua kusubiri zamu yako ya kupiga kura? Wapiga kura wa nchi hii tunawafahamu. Wapiga kura wa nchi hii ni wakulima, wafanyakazi wa kawaida, mamantilie, machinga, bodaboda na watu wanaofanana na hao. Wafanyabiashara hasa wa kati na wakubwa ni nadra sana na pengine siyo rahisi kwenda kupanga foleni kusubiri kupiga kura
 
Back
Top Bottom