ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kwa Rais najua anakuwa na washauri wake wa mambo ya uchumi na siasa na ni kazi inafahamika kabisa je Kwa level ya RC Na yeye ana huyo mtu na kaajiriwa kabisa na serikali kwa kazi ya ushauri wa mkuu wa mkoa.