Tetesi: Kuna chuo fulani hapa Dar es Salaam kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara

Tetesi: Kuna chuo fulani hapa Dar es Salaam kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara

otimbiotimbi

Senior Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
132
Reaction score
230
Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!

Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao

Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
 
Ukiwapigia huduma Kwa wateja Kwa mtandao unaotumia ukuwaeleza ttz Hilo naamini wanaweza kukusaidia mkuu
Jamaa anataka kufanya fursa😃, wapigie uwaeleze wamekosea Hio itakua human error tu, afu vyuo vikubwa watu wanafanya application kujiunga sio kupiga piga simu
 
Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!

Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao

Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
Ushakuwa tajiri, tembea na fursa hiyoo.
 
Jamaa anataka kufanya fursa😃, wapigie uwaeleze wamekosea Hio itakua human error tu, afu vyuo vikubwa watu wanafanya application kujiunga sio kupiga piga simu
Uko sahihi,swali ni Je kwanini wameweka namba yangu kwenye website yao ,instagram page na juzi nimepokea simu ya mteja wao anasema kachukua namba yangu kwenye gari ya hicho chuo!!

Yaani ni kero haipiti siku sijapigiwa simu
 
Utakua ulisajili line ukapewa namba yao ambayo hawaitumii tena ila wamesahau kuifuta.
 
Uko sahihi,swali ni Je kwanini wameweka namba yangu kwenye website yao ,instagram page na juzi nimepokea simu ya mteja wao anasema kachukua namba yangu kwenye gari ya hicho chuo!!

Yaani ni kero haipiti siku sijapigiwa simu
Kwa io unataka ukashtaki au?
 
Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!

Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao

Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
Hata likipiga pisi hupokei?
 
Makampuni ya simu Yana tabia mbaya Sana. Wakiona namba yako haipo hewani mwezi wanamuuzia mtu mwingine, wakati namba hiyo ulisha ilink na huduma mbalimbali zenye password ambapo ukitaka kuzinrecover lazima mitandao inatuma OTP Kwenye namba hizo ambazo Sasa zinatumiwa na mtu mwingine, mawasiliano ya Siri ya ndugu yanakwenda kwa mtu asiyehusika. Watokee wanasheria wawaburuze mahakamani Kampuni za simu na tcra jointly
 
sema mitandao yetu ya simu inazingua sana hio namba yako kabla ujaisajili ww ilikuwa inatumiwa hicho chuo na wali iweka kwenye matangazo yao pahe zao mitandaoni ila baadae nadhani waliacha kuitumia au ilipotea na sheria ya kina Voda na Tigo namba asipokuwa hewani miezi 3 mfululizo wanaifunga kisha wanatengeneza laini nyingine ya namba hiyo hiyo alafu wanarudisha mtaani ndo hapo ukaisajili ww lakini chuo hawajaifuta kwenye matangazo yao hawaja edit na ku update yale matangazo maana yake hayo matangazo yalitangulia kabla ww hujasajili hiyo laini.!
 
Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!

Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao

Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
nenda kawashtaki hapa jf utamfurahisha moderator tu kufnaya kufuta au kupozi mada
 
Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!

Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao

Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
Pokea, waambie wakutumie ada.
 
Back
Top Bottom