otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 132
- 230
Jamaa anataka kufanya fursa😃, wapigie uwaeleze wamekosea Hio itakua human error tu, afu vyuo vikubwa watu wanafanya application kujiunga sio kupiga piga simuUkiwapigia huduma Kwa wateja Kwa mtandao unaotumia ukuwaeleza ttz Hilo naamini wanaweza kukusaidia mkuu
Ushakuwa tajiri, tembea na fursa hiyoo.Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!
Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao
Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
Yaani?Ushakuwa tajiri, tembea na fursa hiyoo.
Uko sahihi,swali ni Je kwanini wameweka namba yangu kwenye website yao ,instagram page na juzi nimepokea simu ya mteja wao anasema kachukua namba yangu kwenye gari ya hicho chuo!!Jamaa anataka kufanya fursa😃, wapigie uwaeleze wamekosea Hio itakua human error tu, afu vyuo vikubwa watu wanafanya application kujiunga sio kupiga piga simu
Kwa io unataka ukashtaki au?Uko sahihi,swali ni Je kwanini wameweka namba yangu kwenye website yao ,instagram page na juzi nimepokea simu ya mteja wao anasema kachukua namba yangu kwenye gari ya hicho chuo!!
Yaani ni kero haipiti siku sijapigiwa simu
Hata likipiga pisi hupokei?Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!
Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao
Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
90% ya simu zinazopigwa ni za wanawake kiasi kwamba mpaka ndoa yangu iko hatarini mana kila siku namba ngeni na ni wanawake🫲😾Hata likipiga pisi hupokei?
Kumbe Bahati mbaya umeoa.90% ya simu zinazopigwa ni za wanawake kiasi kwamba mpaka ndoa yangu iko hatarini mana kila siku namba ngeni na ni wanawake🫲😾
nenda kawashtaki hapa jf utamfurahisha moderator tu kufnaya kufuta au kupozi madaKuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!
Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao
Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
Wakutane chemba, wafidie usumbufu waliompa, na kuindoa number yake.Kwa io unataka ukashtaki au?
kweli mkuu muhimu hao chuo kuedit na ku update matangazo yao maana hio namba wao chuo hawaitumiiWakutane chemba, wafidie usumbufu waliompa, na kuindoa number yake.
Pokea, waambie wakutumie ada.Kuna chuo fulani hapa dar kikubwa tu wameweka namba yangu ya simu kwenye matangazo yao ya biashara ya chuo hicho namimi sifanyi kazi wala sijawahi kusoma kwenye chuo hicho!
Sasa kifupi imekuwa ni kero mno kwangu kupokea simu za wateja wao wanaotaka kujiunga na chuo chao
Kisheria imekaaje hii? Nifanyeje maana haiishi siku sijapokea simu za wateja wao!
Ana familia huyu usimpoteze.Pokea, waambie wakutumie ada.