tutaishi milele
Member
- Dec 26, 2015
- 68
- 46
Wakuu habari yenu poleni na majukumu aise naomba kuuliza kama kuna continuous yeyote aliomba mkopo na kapata moaka sasa au utaratibu ni ule ule continuous wao ni mpaka batch ya mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh hii ni kweliContinuous hatuombi Bali tunapangiwa tu kwasabab tulishaombag tangu first year
Kwamba waliomba mwaka huu wamekosea kuomba au mimi ndo sielewi na update wanapata kupitia akaunti ipi?Continuous hatuombi Bali tunapangiwa tu kwasabab tulishaombag tangu first year
Sio kweli awaombi wale ambao walipata mikopo hiyo first year kwa aliyekosa anapaswa kuomba second year akibahatika anapewa ukikosa mkopo first year na aukuomba tena auwezi pangiwa mkopo nduguContinuous hatuombi Bali tunapangiwa tu kwasabab tulishaombag tangu first year
Kama ulipata first year huombi Tena Ila km hukupat ndo unaombMmh hii ni kweli