Kuna Daktari yeyote ambaye ana kitu cha ziada tofauti na ujuzi alioupata darasani?

Kuna Daktari yeyote ambaye ana kitu cha ziada tofauti na ujuzi alioupata darasani?

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Habari za leo Wanajamiiforums?

Kwanza kabisa niwashukuru madaktari kwa Kazi nzuri mnayoendelea kufanya🙏.

Ila challenge yangu ni hii.Je,

Kuna daktari yeyote ambaye ana kitu cha ziada tofauti na ujuzi alioupata darasani? (Namaanisha ana tafiti yoyote ambayo amefanya inayoweza kuleta impact kwenye Jamii?

Ebu tu-refer issue ya USAID kujiondoa kutoa huduma Tanzania. Je, hamkuona aibu?
Mna vifaa vyote vya kuwawezesha

kufanya tafiti na mitishamba ipo.

Je ni kweli hamna Daktari anayeweza kuumiza kichwa ili tuondokane na aibu kama yale?

Mwisho, Nina mimea mitatu ambayo utafiti wake ukikamilika huenda ukatibu ugonjwa fulani mkubwa. Na kwa makadirio ya utafiti huu utachukua mda wa miezi mitatu au sita.

Daktari aliye tayari kuumiza kichwa aje PM tuone namna ya kufanikisha Jambo linaloweza kuleta matokeo chanya kwenye jamii asanteni.

Asanteni kwa kunisikiliza.
 
Habari za leo Wanajamiiforums?

Kwanza kabisa niwashukuru madaktari kwa Kazi nzuri mnayoendelea kufanya🙏.

Ila challenge yangu ni hii.Je,

Kuna daktari yeyote ambaye ana kitu cha ziada tofauti na ujuzi alioupata darasani? (Namaanisha ana tafiti yoyote ambayo amefanya inayoweza kuleta impact kwenye Jamii?

Ebu tu-refer issue ya USAID kujiondoa kutoa huduma Tanzania. Je, hamkuona aibu?
Mna vifaa vyote vya kuwawezesha

kufanya tafiti na mitishamba ipo.

Je ni kweli hamna Daktari anayeweza kuumiza kichwa ili tuondokane na aibu kama yale?

Mwisho, Nina mimea mitatu ambayo utafiti wake ukikamilika huenda ukatibu ugonjwa fulani mkubwa. Na kwa makadirio ya utafiti huu utachukua mda wa miezi mitatu au sita.

Daktari aliye tayari kuumiza kichwa aje PM tuone namna ya kufanikisha Jambo linaloweza kuleta matokeo chanya kwenye jamii asanteni.

Asanteni kwa kunisikiliza.

Hongera sana mkuu kwa utafiti huo. Naamini utafanikiwa na hivyo kuleta mchango chanya na mkubwa kwa jamii yetu hasa katika kutibu magonjwa yanayowasumbua watu wetu.

Kila la kheri.
 
Hiyo tasnia sio kama ufundi makenika ambapo unaweza kujiamulia tu hata kama hujui carburator ni nini utaichomoa utaichezea weee na utairudisha chuma ikafanya kazi
Hamna mtu yupo comfortable kutibiwa na daktari ambaye anawaza nje ya box..... Usije amka theatre ukaambiwa korodani zako zinafanya kazi ya moyo
 
Back
Top Bottom