Kwa hali ilivyo Simba possibly mwakani pakavu tena. Not sure kama BARBARA atatuvusha mwanamama huyu.
Akpan is OK, Je kuendelea kumtegemea MKUDE ni ngumu sisi kutoboa. Tatizo la MKUDE ni mvivu sana imagine Mkude acheze ktkt mnacheza na wydad au Mamelod. Kama SImba wanataka kubalance timu vizuri wapate mkabaji mzuri mwenye pumzi kama ya FRAGA.
Kama hatutaleta kiungo wa kukaba vizuri tujiandae pia SIMBA kumtegemea ONYANGO tumeishaaa tena
Akpan is OK, Je kuendelea kumtegemea MKUDE ni ngumu sisi kutoboa. Tatizo la MKUDE ni mvivu sana imagine Mkude acheze ktkt mnacheza na wydad au Mamelod. Kama SImba wanataka kubalance timu vizuri wapate mkabaji mzuri mwenye pumzi kama ya FRAGA.
Kama hatutaleta kiungo wa kukaba vizuri tujiandae pia SIMBA kumtegemea ONYANGO tumeishaaa tena