Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli kuna dawa za kuongeza makalio???,au ni dhihaka tu kwa wadada?
leo tumalize huu upuuzi,kama kuna dawa ya kuongeza makalio iwekeni hapa tujue....
lengo ni kujua kama ninaweza kui apply kwenye miguu yangu niwe na miguu ya bia, 😀😛
Wewe ni mchaga?Hivi ni kweli kuna dawa za kuongeza makalio? Au ni dhihaka tu kwa wadada?
Leo tumalize huu upuuzi, kama kuna dawa ya kuongeza makalio iwekeni hapa tujue.
Lengo ni kujua kama ninaweza kui apply kwenye miguu yangu niwe na miguu ya bia, 😀😛
Hahaaa ..hakuna ridhika na uumbaji wa MunguHivi ni kweli kuna dawa za kuongeza makalio? Au ni dhihaka tu kwa wadada?
Leo tumalize huu upuuzi, kama kuna dawa ya kuongeza makalio iwekeni hapa tujue.
Lengo ni kujua kama ninaweza kui apply kwenye miguu yangu niwe na miguu ya bia, 😀😛
Zipo, tembelea vyuoni hasa ndiko zimeshamili, au mfuate wema. Zinanenepesha makalio na miguu. Gharama nadhani ni kama elfu 60 kama sijakosea, mhusika hutakiwa kupaka kama mafuta sehemu anayotaka iumuke/inenepe, hivyo kama ni kalio au mguu basi hupaka. Ni kitu hatari sana ingawa serikali naona hawajang'amua, ni kitu ambacho kinakuja kuteketeza mabinti wengiHivi ni kweli kuna dawa za kuongeza makalio? Au ni dhihaka tu kwa wadada?
Leo tumalize huu upuuzi, kama kuna dawa ya kuongeza makalio iwekeni hapa tujue.
Lengo ni kujua kama ninaweza kui apply kwenye miguu yangu niwe na miguu ya bia, 😀😛
Miss youUnataka kuwa na chura eeeh!
Rafiki am missing you too!....Rafiki nahitaji pastegarlic please!Miss you