Esrom makono
Senior Member
- May 11, 2019
- 121
- 76
Samahan waungwana Nina tatizo kurekebisha koo/kukohoa kwa kuhisi Kama nna kikohoo lakin sivyo.nimepima afya iko njema kifua Safi nikapewa dawa ikatulia kidogo lakin Tena Hali imejirudia.shida itakua nn? Je Kuna dawa naweza tumia hata asili nikaepukana na hii Hali?