Esrom makono
Senior Member
- May 11, 2019
- 121
- 76
Unaijua TB wewe?TB iyo wahi tiba mapema
Mbona TB nimepima sikukutwa nayo ndg?TB iyo wahi tiba mapema
Tumia tangawizi, pilipili manga, mdarasini, asali, aina ya viungo jamii hiyo huwe unameza kijiko jinsi unavyijisikia kikoozi kwishneSamahan waungwana Nina tatizo kurekebisha koo/kukohoa kwa kuhisi Kama nna kikohoo lakin sivyo.nimepima afya iko njema kifua Safi nikapewa dawa ikatulia kidogo lakin Tena Hali imejirudia.shida itakua nn? Je Kuna dawa naweza tumia hata asili nikaepukana na hii Hali?
Asnte Sana ndg yanguTumia tangawizi, pilipili manga, mdarasini, asali, aina ya viungo jamii hiyo huwe unameza kijiko jinsi unavyijisikia kikoozi kwishne
Samahan waungwana Nina tatizo kurekebisha koo/kukohoa kwa kuhisi Kama nna kikohoo lakin sivyo.nimepima afya iko njema kifua Safi nikapewa dawa ikatulia kidogo lakin Tena Hali imejirudia.shida itakua nn? Je Kuna dawa naweza tumia hata asili nikaepukana na hii Hali?
Samahan waungwana Nina tatizo kurekebisha koo/kukohoa kwa kuhisi Kama nna kikohoo lakin sivyo.nimepima afya iko njema kifua Safi nikapewa dawa ikatulia kidogo lakin Tena Hali imejirudia.shida itakua nn? Je Kuna dawa naweza tumia hata asili nikaepukana na hii Hali?
hili nafikiri hata mimi linanihusuUmepima Minyoo?