Kuna demu kuu kanipigia simu nimsaidie kutoa mimba ya miezi mitatu wadau,kwa gharama yoyote ile, mi

Mi nawasi wasi huenda huyo mtoa mada ndio kamjaza mimba huyo mchumba wa mtu, sasa hivi anaanza kuhaha! Dah! Usaliti katika mahusiano sijui utaisha lini..
 
Huyo dada ovyo sana! Yaani anataka kuua mtoto wake na kumlipa hela atakayemsaidia kuua!? Hii Kali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…