LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Bwana Mdogo kamaliza Chuo, hataki kuajiriwa. Anataka kujiajiri mwenyewe na kazi ambayo ameichagua NI kuwa sonara
Anatafuta sehemu ambayo anaweza kujifunza usonara.
Kwa mwenye Abc kuhusu usonara plz afunguke hapa.
Sonara yupi anatoa mafunzo ya usonara.
Gharama zake zikoje na kupata basic knowledge ya smithing inaweza kumchukua muda gani?
With much thanks in advance
# He is in Dar Es Salaam
Anatafuta sehemu ambayo anaweza kujifunza usonara.
Kwa mwenye Abc kuhusu usonara plz afunguke hapa.
Sonara yupi anatoa mafunzo ya usonara.
Gharama zake zikoje na kupata basic knowledge ya smithing inaweza kumchukua muda gani?
With much thanks in advance
# He is in Dar Es Salaam