Kuna Dunia nyingine mpya imepatikana

Hivi Kuna uwezekano dunia ikawa bado ni mahali pa kuishi katika miaka hiyo!?
Nadhani binadamu watakuwa wamebadilika na kuwa kiumbe flani hivi kama zombie
Our galaxy milkway ambayo nyota yetu ipo ina miaka bilioni 13.6. Dunia ina miaka zaidi ya bilioni 4 binadamu tumekuwepo kwa miaka 250,000 yrs. Na bado tutakuepo. We mean so little in the grand scheme of things hatuna huo uwezo wa kuharibu dunia hata tukijaribu
 
Afadhali, wapeleke wa Israel uko ili kuondoa full apa duniani
 
Hao ni wanasayansi wa kisiasa political scientists
 
Majibu yapo ila hayo maradhi ni chanzo cha utajiri wa wakuu wa dunia ndio maana wamekaa kimya
Hata hao wakuu wa dunia hayo maradhi yanawachukua eg Steve Job au ye sio mkuu miongoni mwao!?
Mi nadhani wamekosa majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…