Kampuni inavaa uhalisia na kuishi hivyo kupata uwezo wa kushitaki ama kushitakiwa(legal entity)
Uhakika wa kuaminiwa maana ipo kisheria.
Uwezo wa kuendesha mambo yake kwa kufuata Sheria,kanuni na taratibu.
Uwezo wa kulipa maduhuri mbalimbali ya serikali.
Uwezo wa kuheshimika pia nk