Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Jamani tupeane uzoefu.
Mara nyingi natumia Instagram na YouTube kutangaza biashara yangu, lakini nataka kuongeza njia mpya za kufanya matangazo. Nimejaribu kuwasiliana na TikTokers kadhaa wa Bongo, lakini bei zao ni kubwa. Mfano, Kiredio aliomba milioni 6 kwa matangazo manne, na wengine wanadai 500k au 2M. Bei zao zinanifanya nijione bora kubaki na Instagram na YouTube, kwani naona zinaweza kufanya vizuri zaidi kuliko wao.
Nimekuja kwako unipe uzoefu wako kuhusu kutangaza na hawa TikTokers, hali ikoje?
Mara nyingi natumia Instagram na YouTube kutangaza biashara yangu, lakini nataka kuongeza njia mpya za kufanya matangazo. Nimejaribu kuwasiliana na TikTokers kadhaa wa Bongo, lakini bei zao ni kubwa. Mfano, Kiredio aliomba milioni 6 kwa matangazo manne, na wengine wanadai 500k au 2M. Bei zao zinanifanya nijione bora kubaki na Instagram na YouTube, kwani naona zinaweza kufanya vizuri zaidi kuliko wao.
Nimekuja kwako unipe uzoefu wako kuhusu kutangaza na hawa TikTokers, hali ikoje?