kuna faida zipo kutunza hela kwenye kibubu

kuna faida zipo kutunza hela kwenye kibubu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nimeanza kucheza betting ya akili sasa hivi na deal na odds 1.27 mpaka 1.30 halafu mkeka wa accumulation mecchi 4 tu zilete odd ya 2.68 na zaidi na sio single bet mtaji ni laki 2 na natumia finobacci system.matokeo yanaenda vizuri nataka hela yoyote ndogo nitakayokuwa nakula niwe naitoa naipeleka kwenye kibubu ile inayozidi kwenye mtaji wangu.maana nimeona hela ukiitunza kwenye simu vishawishi vyingi vya kukufanya uzidi kuichezea au kuitumia..nitawapa mrejesho kamili baada ya mwezi nikikipasua kibubu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240907-133748.png
    Screenshot_20240907-133748.png
    162.2 KB · Views: 11
  • Screenshot_20240907-133752.png
    Screenshot_20240907-133752.png
    191 KB · Views: 11
  • Screenshot_20240907-133759.png
    Screenshot_20240907-133759.png
    179.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20240908-104430.png
    Screenshot_20240908-104430.png
    183.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20240908-104423.png
    Screenshot_20240908-104423.png
    165.1 KB · Views: 10
Kibubu kinakufanya uwe ZEZETA.

Sitasahau nilikuwa na kibubu cha mbao nikakitia kufuli la mjeremani lakini uzalendo ulinishinda nilijikuta nakipasua na shoka ndani ya wiki moja tu.

Yaani nijibane nile dagaa zenye miba huku hela zimejificha kwenye kopo? Kweli?
 
Kibubu kinakufanya uwe ZEZETA.

Sitasahau nilikuwa na kibubu cha mbao nikakitia kufuli la mjeremani lakini uzalendo ulinishinda nilijikuta nakipasua na shoka ndani ya wiki moja tu.

Yaani nijibane nile dagaa zenye miba huku hela zimejificha kwenye kopo? Kweli?
Nilichokifanya mimi nimetumia akili ya kumpa shemeji yako hela ya kula ya mwezi na ziada yake kwa ajili ya kulipa bill..so mimi kwa mwezi mzima nitakuwa sidaiwi matumizi na hela ta bia 2 nitakuwa nikimuomba yeye mimi na deal na biashara yangu tu ya kujaza kibubu kila siku ila mtaji ubaki palepale
 
Ukiona unashindwa kutunza hela yako mwenyewe ujue Una tatizo na upo driven na mambo Kama pombe ,sigara ,wanawake n.k


Unbidi ujitahidi uwe na uwezo wa kukaa na hela popote pale ndani kwenye simu na kibubu.


Faida za kuweka hela katika kibubu
Mimi naona kwanini usiiweke hela yako bank ?

Katika kibubu sio salama Sana mkuu
Mkuu hela zenyewe sio nyingi ni kama 3000-6000 kwa siku so huwezi kila siku uwe unaenda bank kuweka 5000
 
Nimeanza kucheza betting ya akili sasa hivi na deal na odds 1.27 mpaka 1.30 halafu mkeka wa accumulation mecchi 4 tu zilete odd ya 2.68 na zaidi na sio single bet mtaji ni laki 2 na natumia finobacci system.matokeo yanaenda vizuri nataka hela yoyote ndogo nitakayokuwa nakula niwe naitoa naipeleka kwenye kibubu ile inayozidi kwenye mtaji wangu.maana nimeona hela ukiitunza kwenye simu vishawishi vyingi vya kukufanya uzidi kuichezea au kuitumia..nitawapa mrejesho kamili baada ya mwezi nikikipasua kibubu.
Inategemea na kiasi cha fedha lakini pia kama hauna mahitaji ya ghafla ni jambo zuri kuweka hela humo.
 
Nimeanza kucheza betting ya akili sasa hivi na deal na odds 1.27 mpaka 1.30 halafu mkeka wa accumulation mecchi 4 tu zilete odd ya 2.68 na zaidi na sio single bet mtaji ni laki 2 na natumia finobacci system.matokeo yanaenda vizuri nataka hela yoyote ndogo nitakayokuwa nakula niwe naitoa naipeleka kwenye kibubu ile inayozidi kwenye mtaji wangu.maana nimeona hela ukiitunza kwenye simu vishawishi vyingi vya kukufanya uzidi kuichezea au kuitumia..nitawapa mrejesho kamili baada ya mwezi nikikipasua kibubu.
Nimeipenda hii
 
Nilichokifanya mimi nimetumia akili ya kumpa shemeji yako hela ya kula ya mwezi na ziada yake kwa ajili ya kulipa bill..so mimi kwa mwezi mzima nitakuwa sidaiwi matumizi na hela ta bia 2 nitakuwa nikimuomba yeye mimi na deal na biashara yangu tu ya kujaza kibubu kila siku ila mtaji ubaki palepale
Kumbe we ni mwendawazimu? Yaani umuombe mwanamke pesa ya bia, tena yako?!
 
Back
Top Bottom