Kuna gari imesimama nje ya nyumba yangu getini naogopa kutoka nje

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ni Land cruiser yenye vioo tinted imesimama nje ya geti toka saa nne usiku na imeondoka alfajiri ya saa kumi
Namba zake ni t 456 ... Iliwekwa kiubavu. Dirisha lilifungulikwa kidogo.
 
Toka saa 4 usiku wewe unakuja kutoa taarifa asubuhi kweli? Ulikua serious kweli wewe?

Je kuna ndugu au marafiki uliwapa hiyo taarifa? Je una namba ya cm za polisi walio katika eneo lako na uliwapa taarifa pia?

Tunatakiwa tuwe na mbinu za kujiokoa majumbani endapo kuna mazingira hatarishi.
 
kwani na wewe huwaga unapinga pinga serikali pendwa ya wanyonge...tuanzie hapo kwanza
 
Mi sioni ubaya mtu kupaki na kuamua kujipumzisha kidogo,,
Siku ingine ita bodaboda mwambie ahakikishe anaifuatilia wiki nzima ili kujua nani ni nani
 
Kwani wangetaka kuingia ndani unafikiri ungeweza kuwazuia? Kama umeshindwa kutoka kuuliza tu mbona wapo hapo kwako muda?
 
Ni Land cruiser yenye vioo tinted imesimama nje ya geti toka saa nne usiku na imeondoka alfajiri ya saa kumi
Namba zake ni t 456 ... Iliwekwa kiubavu. Dirisha lilifungulikwa kidogo.
Jiulize una sababu yoyote ya kutekwa?
 
Cha muhimu kuanzia sasa ni kuwa makini mkuu. Maybe ni mlevi pia. Lakini tahadhari lazima uchukue. Na kama uko mrengo fulan wa siasa uwe makini zaidi. Next rime ikiwezekana uwe na bodaboda wa kuifatilia hiyo gari endapo ikajitokeza. Kuwa makini. Maybe kina mtu anafatilia nyendo zako ili akujue pia
 
Ni Land cruiser yenye vioo tinted imesimama nje ya geti toka saa nne usiku na imeondoka alfajiri ya saa kumi
Namba zake ni t 456 ... Iliwekwa kiubavu. Dirisha lilifungulikwa kidogo.
Mkuu usihofu chochote.,,wale jamaa wa tala hawaji usiku..
 
Ni Land cruiser yenye vioo tinted imesimama nje ya geti toka saa nne usiku na imeondoka alfajiri ya saa kumi
Namba zake ni t 456 ... Iliwekwa kiubavu. Dirisha lilifungulikwa kidogo.
Dunia ishabadilika Sana,,kweli wasiwasi ni muhimu lakini ulipaswa kuwajulisha viongozi wa mtaa mapema Sana ili kuwafuata hao walipaki hapo na kujua nia yao,,,
 
Mi sioni ubaya mtu kupaki na kuamua kujipumzisha kidogo,,
Siku ingine ita bodaboda mwambie ahakikishe anaifuatilia wiki nzima ili kujua nani ni nani
Unaongea kirahisi sana tofauti na uhalisia.
Mtu anaanzaje kupark gari nje ya nyumba yako tena usiku bila hata kukupa taarifa?
Wewe unakuwa na uhakika gani kwamba anajipumzisha tu?
Kama amefanya tukio la kihalifu huko atokapo?
Kama anataka kukudhuru?
Tanzania imebadilika. Hizi sio enzi za Nyerere.
 
Kwani wewe uko chama gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…