malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari,
Nataka niende Bukoba..je Kahama Kuna gari za kwenda Bukoba na zinaondoka saa ngapi..na gari Gani nzuri kufika Bukoka ...nauli ni shingap nani mwendo wa masaa mangapi?
Nataka niende Bukoba..je Kahama Kuna gari za kwenda Bukoba na zinaondoka saa ngapi..na gari Gani nzuri kufika Bukoka ...nauli ni shingap nani mwendo wa masaa mangapi?