Kuna gari za Kahama kwenda Bukoba?

Kuna gari za Kahama kwenda Bukoba?

Nyingi sana za kutoka Arusha-Bukoba, Dom-Bukoba, Dar-Bukoba zote zinapita Kahama

Za arusha zinapita Kahama saa 10 jioni kwenda Bukoba, lakin sikuhizi gari zinatembea masa 24 muda wowote unaweza kupata usafiri
 
Nimasaaa mangap kahama to bukoba
Afu hiyo smartphone ya kazi gani mbwa wewe??
Screenshot_20240812-003401_Maps.jpg
 
Nenda hapo stand ya kahama utakutana na machawa kibao ww ,waambie tu shida yako ova
 
Back
Top Bottom