malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Nimasaaa mangap kahama to bukobaFrester road ways, ipo mda wote pia zipo zinazotoka dar hata saa kumi usiku utapata
Unataka basi au gari; magari yapo mengi tu.Habari,
Nataka niende Bukoba..je Kahama Kuna gari za kwenda Bukoba na zinaondoka saa ngapi..na gari Gani nzuri kufika Bukoka ...nauli ni shingap nani mwendo wa masaa mangapi?
LaiGwananiArusha express,the jungle.
Nataka vyovyote bas au gari piaUnataka basi au gari; magari yapo mengi tu.
Nauli ni shingap hapo kahama- bukoba na nimwendo wa masaa mangapNyingi sana za kutoka Arusha-Bukoba, Dom-Bukoba, Dar-Bukoba zote zinapita Kahama
Za arusha zinapita Kahama saa 10 jioni kwenda Bukoba, lakin sikuhizi gari zinatembea masa 24 muda wowote unaweza kupata usafiri
Afu hiyo smartphone ya kazi gani mbwa wewe??Nimasaaa mangap kahama to bukoba
Zikitoka Bukoba saa 0600Hrs zinafika Kahama kwanzia 1130-12030Hrs nafikiri ni kama masaa 6 au 7 nauli sina uhakika ni ngapi kuanzia kahamaNauli ni shingap hapo kahama- bukoba na nimwendo wa masaa mangap
magari yapo mengi tu; huna haja ya kuulizaNataka vyovyote bas au gari pia
Poa poa mkuumagari yapo mengi tu; huna haja ya kuuliza
30,000 mpk 28000.Nauli ni shingap hapo kahama- bukoba na nimwendo wa masaa mangap