Kuna goli la mama kwenye mechi za Taifa Stars?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Zile mil 5 kila goli za mama nashauri hawa stars wahaidiwe pia naona wanaanza vizuri wanahitaji hela tu kuwatia moyo

Cc mh naibu waziri husika
 
mama mechi hii ya jana aliahidi 500 milioni acha goli la mama
 
Lipooo hapo wana 10m
 
Hivi wanafunzi shule ya Tanganyika hatuoni huu upotevu warasilimali, unaofanywa kwa kivuli cha hamasa michezoni;
-Maji shida kwenye vijiji vingi.
-Upungufu wa wadawati, meza na vitabu mashuleni.
-Upungufu wa walimu mashuleni
-Zahanati na vituo vya afya Haina dawa pamoja na vifaa tiba vya kutosha.
-Vijana wengi hawana ajira na mitaji.
-Wakulima wanapangiwa bei za kuuza mazao.
Nk..
.Bado tunashangilia Bado la kiranja mkuu shuleni. Au kwa kuwa hatuna namna shuleni kwetu.
 
Kama wanapelekewa ruxuku za mbokea zinapigwa bora tubaki na hamasa tu
 
Mama???? Anacheza namba ngapi??
Sema kuna hela za Rais???
Afu nawewe picha gani hiyo kwenye profile yako? huo ndo usha tunaosemaga kila siku au kwa vile jamaa alitrend juzi apa kwa mambo ya hovyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…