Wapi Africa serikali zilishashindwa? Huo mgogoro ushindi ni wa serikali, ni kwamba haujatangazwa tu.
Na mgogoro, haimaanishi watu, wasipate huduma. Mahakama haijaamuru huduma zisitishwe.
Pia hao wananchi, wanaipigia kura serikali iliyopo madarakani.
Everyday is Saturday 😎