Habarini wadau!
Hivi kuna haja gani kuendelea kuchaji pesa nyingi kwa ajili ya kuweka jina kwa (plates namba) now ni milioni 5 kwa muda wa miaka mi3
Kama muitikio mdogo punguzeni gharama ili Serikali yetu ipate mapato zaidi ukifikiria sana Serikali yetu kuhusu kodi kama haina shida nayo na inaivimbia
Serikali yetu ina miradi mingi na inahitaji kodi kwa kiasi kikubwa kukabiliana nayo na kuendana na muda viongozi wenye dhamana rahisisheni ishu za kikodi ili mtu aone raha kulipia
Mie nashauri ingekua laki 5 hata ikiwa kwa mwaka ili mtathimini itaingiza kiasi gani kwa maana nna imani wengi wataweka kwa kuwa bei rafiki
Natanguliza shukran za dhati
Hivi kuna haja gani kuendelea kuchaji pesa nyingi kwa ajili ya kuweka jina kwa (plates namba) now ni milioni 5 kwa muda wa miaka mi3
Kama muitikio mdogo punguzeni gharama ili Serikali yetu ipate mapato zaidi ukifikiria sana Serikali yetu kuhusu kodi kama haina shida nayo na inaivimbia
Serikali yetu ina miradi mingi na inahitaji kodi kwa kiasi kikubwa kukabiliana nayo na kuendana na muda viongozi wenye dhamana rahisisheni ishu za kikodi ili mtu aone raha kulipia
Mie nashauri ingekua laki 5 hata ikiwa kwa mwaka ili mtathimini itaingiza kiasi gani kwa maana nna imani wengi wataweka kwa kuwa bei rafiki
Natanguliza shukran za dhati