Kuna haja ganiiiiiiii jamaniiiiiiiiii!!!!!

Kuna haja ganiiiiiiii jamaniiiiiiiiii!!!!!

super thinker

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
370
Reaction score
109
Wana JF,kuna haja gani ya muoaji/muolewa kutumia pesa mingi kwenye harusi or sendoff...ni tamaduni or fashion?????lengo hasa ni nn,kujionyesha/kuiga/kufurahi/mkumbo tu....Nimemshuhudia jamaa aki2mia 30 mil. along with a series of vikao vichoshavyo ajabu,wakati kapanga analipa 60,000 p.m.......baada ya muda ndoa ndoano.......tunahitaji mabadiliko ya kweli kwenye hii field jameni.......it begins :angry::angry:
 
Hiyo sakramenti hutolewa mara moja (kwa wakristu) hairudiwi na iko kama kifo hakirudii mara mbili

Once in a life time sioni tatizo hapo
 
Hiyo sakramenti hutolewa mara moja (kwa wakristu) hairudiwi na iko kama kifo hakirudii mara mbili

Once in a life time sioni tatizo hapo

Ni sawa unayosema DA lakini kwa fedha zako sio kutwa michango na mbaya unapokuwa kwenye kamati mara bajeti imekuwa kubwa kuliko makusanyo inabidi wanakamati wanaingia mfukoni kutoa chochote kitu. kweli mabadiliko yanatakiwa katika hili.
 
tatizo gharama sio once in a time best angu. mbona tunapozaliwa gharama ni ndogo,au hata tunapoandaa mazishi baada ya kifo gharama huwa chini kiasi. 30 mil afu ndoa ndoano!
 
My dear
harusi za siku hizi nyingi ni
fashion, glamorous etc
Na mie si oni ubaya wowote kama
Una pesa zako ..

Na harusi za miaka hii ni business
Kuna TV program moja nimesahau jina
Watu wanashindana harusi ya nani ni better..
Kwa mie binafsi harusi kama hizi ni
Show off...
na wengi tunasahau maana ya ndoa/harusi

Lakini saa nyingine ni per pressure ya maisha yA
Kisasa..
 
Hiyo sakramenti hutolewa mara moja (kwa wakristu) hairudiwi na iko kama kifo hakirudii mara mbili

Once in a life time sioni tatizo hapo

it is tru mama, but it has become too expensive. Na hii ni mojawapo ya sababu vijana wengi wakristo inawafanya wasioe mapema au kushindwa kabisa.
 
kwa raha zake.......... kama hela ipo na ye anataka kuweka historia afanyeje? ubaya kama hiyo hela ameikopa basi
 
it is tru mama, but it has become too expensive. Na hii ni mojawapo ya sababu vijana wengi wakristo inawafanya wasioe mapema au kushindwa kabisa.

na hii inanifanya nichelewe kuoa, bado natafuta pesa za harusi
 
jamani tufikirie,kama wataka kuolewa na mm usifikirie harusi fikiria ndoa...............cna hela ya harusi nina hela ya maisha ya ndoa,kufanya every thing beautful in marriage fpr enjoyment........ctaki kuwachosha ndugu zangu na wako kwa vikao elfu kidogo for a one saturday night stand...........change begins with u n me.:juggle:
 
AFROD nazungumzia bridalplasty nini ya channel moja ya US inaitwa E?maana huko ndiko kuna jeuri ya fedha.Minafikiri hakuna shida as long as hizo mbwembwez etc they are not at other people'cost.
My dear
harusi za siku hizi nyingi ni
fashion, glamorous etc
Na mie si oni ubaya wowote kama
Una pesa zako ..

Na harusi za miaka hii ni business
Kuna TV program moja nimesahau jina
Watu wanashindana harusi ya nani ni better..
Kwa mie binafsi harusi kama hizi ni
Show off...
na wengi tunasahau maana ya ndoa/harusi

Lakini saa nyingine ni per pressure ya maisha yA
Kisasa..
 
it is tru mama, but it has become too expensive. Na hii ni mojawapo ya sababu vijana wengi wakristo inawafanya wasioe mapema au kushindwa kabisa.

Acheni kuchangia harusi mkae huru si lazima wajameni aiiii
 
kweli dana,never changia never changia.............stay free:smash:
 
Acheni kuchangia harusi mkae huru si lazima wajameni aiiii
D tatizo ni kwamba kuna kitu kinaitwa utamaduni. Unapojenga utamaduni fulani katika jamii, inatarajiwa watu waufuate maana ni utaratibu unaokubalika. Sasa kwa watu wengi hata kama hataki inakuwa ngumu kwake kukataa kwa sababu wengi wetu hatuna ubavu wa kufanya kinyume na matarajio ya jamii inayotuzunguka ( Mimi huwa sichangii harusi hata hivyo). Kwa hiyo ili kuwasaidia na wengine ambao hawaupendi huu utaratibu kunahitajika mabadiliko ya kimtazamo katika jamii nzima.
 
mtu anafanya harusi ya mamiilioni halafu baadaye maisha ya ndoa - ukata mtupu?? anyway KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Ni sawa unayosema DA lakini kwa fedha zako sio kutwa michango na mbaya unapokuwa kwenye kamati mara bajeti imekuwa kubwa kuliko makusanyo inabidi wanakamati wanaingia mfukoni kutoa chochote kitu. kweli mabadiliko yanatakiwa katika hili.

Nimeshajiwekea utaratibu...............sichangi ndoa zaidi ya kiasi fulani...........nachangia elimu kwa uwezo wangu woote nilionao wa kuweza kuchanga........tubadilike!
 
Mnanifurahisha sana mnalalamika lakini mwisho wa siku bado mtachangia ambaye hajawahi kuchanga au kuchangiwa kwenye harusi yake na awe wa kwanza kusema hapa
 
Sifa....wanataka kuonekana!!!But again kama mtu ana pesa zake acha ajionyeshe.....tatizo ni kwamba wengi wanatumia mamillioni alafu kesho na kesho kutwa ndo imeyeyuka au wanapata watoto ada inakua ya kuhesabu!!!!
 
for us christians wedding is only once in life,siku hiyo haitakaa ijirudie tena so sioni tatizo kama mnapendana mna malengo and uwezo unaruhusu its better to make the day unique and wonderful for both of u coz its the big step in life and the only which will never come back again
 
Back
Top Bottom