Kuna haja ganiiiiiiii jamaniiiiiiiiii!!!!!


Kuna aina nyingi za uendawazimu (pysch disorder) na hiyo ni moja wapo!
 
Kwa hiyo kuzaliwa, kufa, kustaafu nk kuta-come back again!!!
 
Inaboa kwa kweli,tena ukienda kwenye Kikao unapewa kima maalum kuwa wewe utatoa elf75.Hawajali una kazi gani na una mipango gani.Basi bora zile pesa tungekuwa tunawapa wanaooana wakaanzie maisha ingekuwa afadhali,lkn zote zinaishia kwenye vyakula,ukumbi,pombe nk then cku tatu baadae wana ndoa wanahaha wanalia njaa namadeni.Hatukumbuki kuwa sisi ni watu maskini.Inakera kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…