Kuna haja kwa kampuni ya TIGO kubadili jina hili la matusi?

Nadhani haya yote yalitokana na tangazo lao...Tigo, mtandao unaokupa zaidi, kubadili jina hakuna maana labda kama wao wataona wanapoteza wateja kwa kuogopa kusema ...mie napenda Tigo..wakimaanisha mtandao wa tigo . Sio kazi yetu.
 

You better change your mind na si jina la mtandao.
 

Mkuu,
Ahsante sana kwa angalizo hili muhimu. Nadhani iko haja Mods na uongozi wa JF ufanye tathmini mahsusi kabisa itakayoangalia uwezekano wa kupunguza kasi hii ya 'threads upupu'. The way I see, mwendo huu ninaufananisha na uvamizi wa viwavi-jeshi katika shamba, tusipokuwa wangalifu ubora wa JF utaporomoka kwa kasi kama si kwa kishindo.
 
kusema kweli kwa sasa hata ukiwa kwenye Daladala ukipigiwa simu anaambiwa kuwa weka line ya Tigo,ukisema kwamba tigo yako umeacha nyumbani utasikia abiria wote wanaangua kicheko.mi sijui tufanyaje kuhusu hili.
 
our thinking capacity is very low ndo maana tunabadilisha maana za maneno,tubadili mitazamo na fikra zetu katika kuwaza ili tusipotoshe maana ya maneno,mimi sioni shida ya jina tigo hao wanaopata shida na hili jina nadhani its better wakajichunguza uwezo wao wa kufikiri.
 
Kama tulikuwa tunaweza kutumia fikra zetu kwenye kusoma vitabu kutafakari namna ya kuchagua au kuwa kiongozi bora na mwenye maadili nafikiri our mind could have no room for thinking of destroying people's business....infact sisi hata matumizi ya simu bado yanatutatiza mtu anaweka 2000 anaongea ujinga na matusi kwani hio hela siingekusaidia kwa mambo mengine?? hasa wanafunzi wa elimu ya juu(vyuoni). Kukiwa na mada redioni tunaanza naitwa Nguli niko na kyachakiche tunamngoja itei tei la kite watakuja Ndugu.....lakini mada inataka tuchangie uchafuzi wa mazingira wapi tunakwenda???
 
This thread shows how much people are not serious and concentrating on issues. It disappoints to see the way our thinking resources are applied.
Do we still need someone to blame?
Wewe unafikiri ni mzaha lakini watu wanadundana mtaani kwa neno TIGO.Hata wewe ukiwa mtaani mwambie mtu nipe TIGO yako uone muziki wake.
 
Wanajamii inabidi muwe makini na fikra zisioleta maendeleo TIGO Inabaki hivyo hivyo,kabla watu walitafsiri KISAMVU,MBAAZI,KUNDE NA HATA BAMIA kwa maana mbalimbali kimatusi lakini leo zipo wapi hizo tafsiri zao. TUBADILIKENI tupeana vile ambavyo vitatuneemesha sasa na vizazi vyetu vya baadae tuache fikrana mawazo mabovu.
 

mategemeo yangu ni kuwa tutajenga fikra za kuokoa taifa letu kupitia jf. Lakini kwa "prejudised threads" hatutafika.
Uongozi wa jf wawe makini, tusipoteze "vision" na "mission" ya jf.
 
....Wanajamii inabidi muwe makini na fikra zisioleta maendeleo TIGO Inabaki hivyo hivyo,kabla watu walitafsiri KISAMVU,MBAAZI,KUNDE NA HATA BAMIA kwa maana mbalimbali......
Kisamvu walikuwa wanamaanisha nini ati?
 
hahaaa mkuu you make my day..nimecheka sana...bega kwa bega sio kukaa nyuma yanguuu wanikumbusha mambo la LAMU mie
 
Tena jana kuna sehemu nimepita watu walikuwa wanazozana kuhusu mmoja kumwambia mwenzake mbona unaipenda TIGO sana wewe.Kweli ukosefu wa maadili sasa inapotosha lugha ya kiswahili.
 
Kwanini kampuni hii tu ndio inabatizwa majina mabaya? Why not Tritel au Celtel na sasa Zain? Is it something to do with business competition?
 
tigo neno la kispanish inamaanisha "everywhere".sasa kama unataka ibadirishwe kwa vile wanatumia vibaya neno hilo kama matusi basi itabidi tubadirishe neno "jicho" pia manake watu wanalitumie vibaya pia.
 
Haya kama siyo tu basi nipe TIGO! Nawe ukifika vijiweni sema hivyo uone muziki wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…