Hata tukibaki Na Jiji Moja sidhani kama Kweli tatizo la watanzania sahivi Ni hadhi ya mikoa. So far yote Ni mikoa Na Ni ndani ya JMT.
Nahisi nchi hii sahivi Ina matatizo makubwa yenye kuhitaji watu kuyajadili Na kuchemsha vichwa Zaidi ya majina ya mikoa, tuhepuke simple minds kujadili matukio Baraka ya issues