Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Habari za jioni jamii forum
Kazi ni maisha,kila hatua na kila siku tunahitaji ubunifu mpya kwenye mishe zetu ikiwa ni njia ya kujikwamua na kuuacha umaskini haswa Kwa sisi watu wa kipato cha chini.
Lakini je,tuna elimu ya kutosha Kwa tuyafanyayo,au tunayoyaanzisha?
Au ni tamaa na kuiga tu ikiwa huna utaalamu na ujuzi wa kutosha?
Umeamua kulima,je Una utaalamu na hilo eneo kuhusu muda wa kuandaa shamba ,viuatilifu na uhudumiaji wa shamba?
Je,unaweza kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo na nguruwe (haswa mikoani) Kwa kufuata utaalamu,yaani madawa,chakula sahihi cha mifugo au unaiga kwakuwa fulani anafuga?
Una uwezo wa kutosha (kipesa) kuhudumia mifugo?
Kutesa kiumbe nidhambi kubwa.
Pichani ni nguruwe wakiwa kwenye Banda lao lisilofanyiwa usafi,na pia wanaonekana hawazingatiwi kwenye chakula na madawa.
Nimesikitika Kwa kweli.
Kazi ni maisha,kila hatua na kila siku tunahitaji ubunifu mpya kwenye mishe zetu ikiwa ni njia ya kujikwamua na kuuacha umaskini haswa Kwa sisi watu wa kipato cha chini.
Lakini je,tuna elimu ya kutosha Kwa tuyafanyayo,au tunayoyaanzisha?
Au ni tamaa na kuiga tu ikiwa huna utaalamu na ujuzi wa kutosha?
Umeamua kulima,je Una utaalamu na hilo eneo kuhusu muda wa kuandaa shamba ,viuatilifu na uhudumiaji wa shamba?
Je,unaweza kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo na nguruwe (haswa mikoani) Kwa kufuata utaalamu,yaani madawa,chakula sahihi cha mifugo au unaiga kwakuwa fulani anafuga?
Una uwezo wa kutosha (kipesa) kuhudumia mifugo?
Kutesa kiumbe nidhambi kubwa.
Pichani ni nguruwe wakiwa kwenye Banda lao lisilofanyiwa usafi,na pia wanaonekana hawazingatiwi kwenye chakula na madawa.
Nimesikitika Kwa kweli.