Kuna haja ya kesi ya wabunge 19 kupinga kuvuliwa Ubunge na CHADEMA iwe live

Kuna haja ya kesi ya wabunge 19 kupinga kuvuliwa Ubunge na CHADEMA iwe live

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari Jf, nimefuatilia baadhi ambazo zinakuwa zikirushwa mubashara kuna kitu fulani kinaongezeka katika kuonyesha haki inatendeka.

Itapunguza mambo mengi kufichwa na udanganyifu. Mtu akisema mimi nafanya kazi central au naishi Morogoro maana yake kuna watu wengi watamuona kwa sura na itasaidia kumtambua, mtu akisema naitwa Goodluck kuna watu watakuwa wanamjua vizuri.

Kama tulishindwa kwa kesi ya Mbowe nadhani hii ya hawa wabunge ni vyema ikawa live, ukichukulia kuna uwezekano washalitia taifa hasara kubwa kwa kulipwa pesa ambazo hawakustahili kulipwa .
 
Habari Jf, nimefuatilia baadhi ambazo zinakuwa zikirushwa mubashara kuna kitu fulani kinaongezeka katika kuonyesha haki inatendeka.

Itapunguza mambo mengi kufichwa na udanganyifu. Mtu akisema mimi nafanya kazi central au naishi Morogoro maana yake kuna watu wengi watamuona kwa sura na itasaidia kumtambua, mtu akisema naitwa Goodluck kuna watu watakuwa wanamjua vizuri.

Kama tulishindwa kwa kesi ya Mbowe nadhani hii ya hawa wabunge ni vyema ikawa live, ukichukulia kuna uwezekano washalitia taifa hasara kubwa kwa kulipwa pesa ambazo hawakustahili kulipwa .
Lipia tu mda wa matangazo LIVE wasafi TV au CHADEMA TV
 
Back
Top Bottom