The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Kichuri (African Sauce) ni kiungo kitamu cha nyama haijawahi kutokea. Unaweza kula nyama choma mbuzi mzima.
Awali nilidhani kichuri inaliwa tu kanda ya ziwa hasa Mara ila baada ya kutembelea mikoa mingi ya Tanzania nimegundua Watanzania wengi wanapenda kichuri hasa kula na nyama choma.
Nashauri sasa ni wakati muafaka kichuri kianze kuuzwa supermarkets na kwenye maduka makubwa ya chakula. Pia baadae tuanze ku-export kichuri huko Ulaya tutapata pesa nyingi sana za kigeni.
Ni wakati sasa serikali au mamlaka zinazosimamia machinjio yote nchini kuhakikisha kunakuwa na utengenezwaji wa kichuri kwa kila mbuzi au ng'ombe anayechinjwa ili kikauzwe supermarkets.
Tupende vya kwetu tuthamini vya nyumbani.
Awali nilidhani kichuri inaliwa tu kanda ya ziwa hasa Mara ila baada ya kutembelea mikoa mingi ya Tanzania nimegundua Watanzania wengi wanapenda kichuri hasa kula na nyama choma.
Nashauri sasa ni wakati muafaka kichuri kianze kuuzwa supermarkets na kwenye maduka makubwa ya chakula. Pia baadae tuanze ku-export kichuri huko Ulaya tutapata pesa nyingi sana za kigeni.
Ni wakati sasa serikali au mamlaka zinazosimamia machinjio yote nchini kuhakikisha kunakuwa na utengenezwaji wa kichuri kwa kila mbuzi au ng'ombe anayechinjwa ili kikauzwe supermarkets.
Tupende vya kwetu tuthamini vya nyumbani.