APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 292
October 2020 kuna uchaguzi mkuuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.
2015-2020 baada ya uchaguzi kuisha baadaye tulishuhudia wabunge na madiwani wakihama vyama vyao na bahati mbaya sana wamelitia taifa hasara kwa faida zao binafisi.
Tumeingia gharama za kurudia uchaguzi katika maeneo mengi fedha ambazo zingeweza kufanya kazi nyingine. Je, kuna haja ya hawa watu wakiomba kuchaguliwa tena wachaguliwe tena?
Je, watu hawa hawatahama vyama vyao tena tukaingia gharama za kurudia uchaguzi tena?
2015-2020 baada ya uchaguzi kuisha baadaye tulishuhudia wabunge na madiwani wakihama vyama vyao na bahati mbaya sana wamelitia taifa hasara kwa faida zao binafisi.
Tumeingia gharama za kurudia uchaguzi katika maeneo mengi fedha ambazo zingeweza kufanya kazi nyingine. Je, kuna haja ya hawa watu wakiomba kuchaguliwa tena wachaguliwe tena?
Je, watu hawa hawatahama vyama vyao tena tukaingia gharama za kurudia uchaguzi tena?