Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ukichunguza kwa makini utagundua kwamba wengi wa hawa wanaojiripua hawana uwezo wa kupenya kwenye kura za maoni au hata kuupata ubunge wenyewe hata wakipita kwenye mchujo .
Kwa mfano Watu kama Katambi , Ole Sendeka, Kitila Mkumbo au David Kafulila , hawa hata wafanye kampeni bila kuvaa chochote , hakuna atakayewachagua , lakini mbona wameacha kazi walizopewa wakiwa wamepigika ? kuna nini huko kwenye utumishi wa kuteuliwa , mbona walioteuliwa na kupewa nafasi hizo , tena wakiwa wamechoka mno wanaondoka ?
Kafulila baada ya maisha kumwendea kombo alianzisha mradi wa kupigisha muziki kwenye maharusi na kipaimara huko Kigoma , ina maana anaacha kazi ili arudi kwenye biashara hii ? wakuu ni lazima tuwe wakweli , kwenye hizi kazi za kuteuliwa kuna shida
Kwa mfano Watu kama Katambi , Ole Sendeka, Kitila Mkumbo au David Kafulila , hawa hata wafanye kampeni bila kuvaa chochote , hakuna atakayewachagua , lakini mbona wameacha kazi walizopewa wakiwa wamepigika ? kuna nini huko kwenye utumishi wa kuteuliwa , mbona walioteuliwa na kupewa nafasi hizo , tena wakiwa wamechoka mno wanaondoka ?
Kafulila baada ya maisha kumwendea kombo alianzisha mradi wa kupigisha muziki kwenye maharusi na kipaimara huko Kigoma , ina maana anaacha kazi ili arudi kwenye biashara hii ? wakuu ni lazima tuwe wakweli , kwenye hizi kazi za kuteuliwa kuna shida